Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Kuwatoboa tundu ni zaidi ya hiyo milioni 15Hongereni Yanga kwa kushinda milioni 15 sawa na ng'ombe kumi wa maziwa.
Leo amtolala kwa furaha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwatoboa tundu ni zaidi ya hiyo milioni 15Hongereni Yanga kwa kushinda milioni 15 sawa na ng'ombe kumi wa maziwa.
Leo amtolala kwa furaha.
Mk 14 atafunga simba b sio yanga tena leo kawa kama pritonLabda unambie Fei toto ila ao wengine sio.
Forward zenu wote tegemezi mliwachezesha wakati Simba ni MK14 tu na mlimkaba mpaka akakosa oksijen.
Msingeshangiilia ushindi wa namungo kweli nyie akili hamna kama manaraKha!!,,Yanga washamba sijapata kuona,eti wanapita"oya oya'wanashangilia wamechukua ubingwa wa hii ndondo ya mapinduzi!!
Ama kweli ushamba ni mzigo.
Sikia nikwambie Shilole.Acha urongo wewe mtoto wa kike kwani leo Hawa hapa chini wamecheza?
Moro
Mwamnyeto
Yasin...
Kaseke na yacouba uliwaona pale?Labda unambie Fei toto ila ao wengine sio.
Forward zenu wote tegemezi mliwachezesha wakati Simba ni MK14 tu na mlimkaba mpaka akakosa oksijen.
Hayo magarasaKaseke na yacouba uliwaona pale?
unaangaika kumjibu mbumbumbu, unapoteza nguvu zako bureKaseke na yacouba uliwaona pale?
Tunavukaje sasa.....!?Paka Fc Kwani Walienda Na Nyau Wao Jamani?View attachment 1676940
Ukishindwa kufunga penati utaweza kufunga goli gani Tena?Fungeni magoli ya ufundi sio penati
Hivi ujasiri wa kuandika uharo huu unstoa wapi? Kama ulikuwa na jambo lako si ungemuacha Namungo fc akatinga fainali, hii ndiyo sizitaki mbichi hizi. Sister huo ndiyo uwezo wenu, jiandaeni kisaikojia mitungo zaidi inakuja, mark my words.Sikia nikwambie Shilole.
Ushindi wa kwenye matuta sio wa kujiona mwamba....
Ndiyo hata shuti moja msipige?Yanga walikua na wachezaji wao wote tegemezi full ngwamba,wakati Simba mashine muhimu zote azikuwepo.
Chama.
Luis.
Boko.
Shabalala.
Kapombe.
Nyoni.
Wawa.
Bwalya.
Benchi la ufundi la Simba awakutolea macho hii fainali kwasababu mbele kuna big deal zaidi ya hii fainali ya milioni kumi ya mashindano ya visiwani.
Nchimbi na Farred MusaKuna mechi yoyote ya Simba ambayo hao wote uliowataja wamecheza kwa pamoja, sambamba nabaadhi ya hao wa kikosi cha kwanza waliocheza leo?
Yasin Mustafa, Bakari Mwamnyeto, Lamine Moro, Fei Toto, James Kaseke, Yakoiba, walichezea Yanga leo? Hao ni wa kikosi cha pili?
Mngeshinda wala usingesema haya, kubali mmefungwa na kombe limeenda jangwani, hata kama ni la million 10. Million 10 isingekuwa na faida msingeshiriki mashindano, nyau FCMmetolea macho fainali ya milioni kumi mashindano ya visiwani eti!!?
Lenu mlilofunga ndani ya dk 90 liko wapi, yaani wanasimba bora mnyamze tu, mnajitetea upuuzi tuMmeshinda kwa Penalty,sio case!Dk 90 hakuna bao lililofungwa!