Yanga elekezeni dua zenu kwenye mechi za Medeama

Yanga elekezeni dua zenu kwenye mechi za Medeama

Simba Sc Mnazungumzia Mechi Ya Dar Young Africans Kulikoni Mechi Yenu Ya Huko Ivory Coast Sijui Mmekata Tamaa.
 
Ni kweli wakikaza sare wanaweza kuipata Misri ila kesho kushinda 4-0 au 5-1 ni mtihani mkubwa ndiyo maana hayo mahesabu yanakuwa magumu zaidi.
Hivi hesabu bado ni somo gumu nchini? Tuchukulie unayowaza ndo yatokee;
Yanga amfunge CRB goli 1 anafikisha point 8 CRB anabaki na 5.
Yanga anadraw na Ahly kama ulivyowish anafikisha 9.
Hapo anashindwaje kuvuka?
 
Hivi nyie mbumbumbu habari za goli 4 mnazitoa wapi? Yanga hahitaji kushinda goli nyingi cha msingi ashinde hata goli moja then atafte sare away , itamsaidia nini akishinda goli 5 then apoteze mechi ya mwisho?
Shangaa na wewe.
 
Unawaza ujinga usiokuwa na faida kwa unayemuwazia.

Kuelekea mechi ya mwisho, matokeo mazuri kwa Yanga ni Al Ahly ashinde dhidi ya Medeama.
Al Ahly akishinda leo anakuwa amefuzu kwa kufikisha point tisa hivyo mechi ya mwisho itakuwa ngumu ila haitokuwa ngumu kama Al Ahly angetafuta nafasi ya kufuzu.
Kesho Yanga anatakiwa ashinde ushindi wowote ule, ila kama atashinda goli nne basi atakuwa ameshafuzu moja kwa moja kama Al Ahly atashinda leo
Ila ni ngumi yanga kufunga goli nne hii ni club bingwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeandika gazeti lote hili kuwashauri utopolo, baadae muanze kulalamika Mangungu hafai[emoji1][emoji1], Hivi mbumbumbu kwann huwa mnapoteza Muda mwingi kwa ajili ya sisi utopolo ili hali nyie mnayo matatizo kibao tu zaidi yetu
Nadhani ameandika kama mwanamichezo ili kuonesha alternative nyingine ambayo Yanga wanaweza kuitumia kwa ajili ya kuingia kwenye hatua ya robo fainali.
 
Nadhani ameandika kama mwanamichezo ili kuonesha alternative nyingine ambayo Yanga wanaweza kuitumia kwa ajili ya kuingia kwenye hatua ya robo fainali.
vipi kama Jwaneng akishinda alafu Simba atoe draw na ASEC Memosas nini kitatokea maana akili zenu zote zipo kuishauri Yanga
 
Labda kama umetoka kwenu buseresere juzi Yanga kasha toa sare hapo Cairo , washa pelekana matuta na Al Ahly, washa cheza hadi extra time
Achana nae boya huyo, tena ile ya matuta Al Ahly aliendeshwa balaa, na kipindi kile Al Ahly ilikuwa tishio sio hii ya sasa.
 
Da hizi habari ulipata wapi?yanga alifungwa goli moja bila ,kwa sababu nyubani alishinda moja bila wakaenda matuta .Kabla ya kuandika fahamu uachoandika ,yanga hajawahi kutoa sare cairo.
Acha ubishi basi mpumbavu wewe, kama huna rekodi kaa kimya.
 
Acha ubishi basi mpumbavu wewe, kama huna rekodi kaa kimya.
Sibishani na vitoto,na uwe na adabu kichwa chako kimejaaa funza tupu na hakuna unachokijua kwenye mpira.
 

Attachments

  • IMG-20240223-WA0005.jpg
    IMG-20240223-WA0005.jpg
    33.3 KB · Views: 2
Hizi hesabu zimekataa kwa hiyo imebaki njia ya moto tu
 
inahitaji amfunge CRB kwa tofauti ya goli 4 jambo ambalo ni gumu
Mahesabu ya kijinga kabisa... Yaani yanga ashinde mechi ya kesho afu akadrwa kwa Alh Ahly asifuze?. Hizo hesabu unazitoa wapi..... 5+4= 9.

Kila mmoja acheze mechi zake... Nafasi ya Yanga kufuzu ni kubwa Sana.
 
Nani amekwambia yanga kufuzu anahitahi kufunga gori 4... Upumbavu wakutokujua Jambo mnakuja na upuuzi..
Ikiwa Yanga kesho akishinda kwa goli 4-0, anakuwa anafikisha points 8

Akienda kucheza na Al Ahly na kupoteza mechi hiyo, atabakiwa na points 8

Ikiwa CRB ikashinda mechi yake ya mwisho ya nyumbani, atafikisha points 8 kama Yanga

Timu zikilingana points, kitu cha kwanza kinangaliwa ni Head to Head, mechi ya kwanza CRB ilishinda 3-0, Yanga akishinda 4-0 kesho anakuwa amefuzu, kwasababu anafaida ya goli 1 zaidi dhidi ya CRB

Kwahiyo mechi ya Cairo inakuwa ni ya kukamilisha ratiba na kuona nani atamaliza wa kwanza
 
Ikiwa Yanga kesho akishinda kwa goli 4-0, anakuwa anafikisha points 8

Akienda kucheza na Al Ahly na kupoteza mechi hiyo, atabakiwa na points 8

Ikiwa CRB ikashinda mechi yake ya mwisho ya nyumbani, atafikisha points 8 kama Yanga

Timu zikilingana points, kitu cha kwanza kinangaliwa ni Head to Head, mechi ya kwanza CRB ilishinda 3-0, Yanga akishinda 4-0 kesho anakuwa amefuzu, kwasababu anafaida ya goli 1 zaidi dhidi ya CRB

Kwahiyo mechi ya Cairo inakuwa ni ya kukamilisha ratiba na kuona nani atamaliza wa kwanza
Hakuna mtu mwenye akili timamu akaja na upuuzi huu!, Yanga ana mechi mbili na zote anazipigia hesabu, yaani aiingize timu kwa pressure ya gori 4 ili iwe nini? Mwenye akili na mtu wa mpira anaweza yanga ipate ushindi wa Aina yoyote afu akamalizane na Aly Ahly. Over. Hizi habari za Gori 4 ni upuuzi usio na maaana kwa mechi ya kesho.... Ingekuwa mechi ya mwisho sawa.
 
yanga alishinda Moja bila dar , akafungwa Moja bila Cairo , yanga katolewa kwenye penalt
Sio kweli walitoka 1-1 Dar wakaenda Cairo wakatoka 1-1 goli alifuga Donald Ngoma mechi ikaenda extra time Al Ahly wakapata goli dakika za mwisho Kocha Hans alimtoa Kaseke sikumbuki nani aliingia hio mechi ilikua 2016
 
Back
Top Bottom