Yanga elekezeni dua zenu kwenye mechi za Medeama

Yanga elekezeni dua zenu kwenye mechi za Medeama

Haya muanzishe nyuzi zenu za TUKIWAKI maana yanga kaishafunga hesabu zake
 
unakuta uzi ni wako lakini unauogopa,uzi wamoto.
ila Yanga mmewaroga wale Bolo ze dady.wachawi wakubwa nyinyi.
Sasa niuogope uzi vipi wakati niliwaheshimu sana Yanga katika uzi huu na niliuanzisha kiroho safi na baada tu ya mechi ya Medeama nilirudi hapa kusema niliyowaza hayawezekani tena kwa hiyo Yanga italazimika kutumia njia iliyo ngumu zaidi kuvuka?

Toka msimu huu umeanza sijawahi kudoubt uwezo wa Yanga. Mengine yanakuwaga utani tu wa kimpira.
 
Back
Top Bottom