ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
yanga alishinda Moja bila dar , akafungwa Moja bila Cairo , yanga katolewa kwenye penalt
Nani amekwambia yanga kufuzu anahitahi kufunga gori 4...
Anakuwa kafuzuYanga akishinda 4-0 anakuwa kafuzu au hajafuzu?
Ndicho nilichokuwa ninamwelewesha niliyem-quoteAnakuwa kafuzu
Hii ndio game iliisha ahly 1 yanga 0
Nakuomba uje utoe ushuhuda hapa mechi ya leo ilikuwa ni shirikisho au klabu bingwa?
Sasa niuogope uzi vipi wakati niliwaheshimu sana Yanga katika uzi huu na niliuanzisha kiroho safi na baada tu ya mechi ya Medeama nilirudi hapa kusema niliyowaza hayawezekani tena kwa hiyo Yanga italazimika kutumia njia iliyo ngumu zaidi kuvuka?unakuta uzi ni wako lakini unauogopa,uzi wamoto.
ila Yanga mmewaroga wale Bolo ze dady.wachawi wakubwa nyinyi.