kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kuna wadau wanaotaka Yanga kuongeza washambuliaji dirisha dogo. Siungi mkono kwakuwa walioko wanatosha na kupitiliza. Timu ya Yanga Ina magoli mengi ya kufunga kuliko timu nyingine ya ligi hivi sasa kwenye ligi.
Kwenye mashindano ya CAF timu zote hata zile kubwa zenye washambuliaji Bora ikiwemo Pyramids ambayo Mayelle anachezea bado zinapata shida sana kupata magoli pia.
Tusiingie hasara ya kuvunja mikataba ya wachezaji dirisha dogo eti kwa sababu ya kutafuta strikers, sio kweli kabisa. Maana hata akina Baleke na yule wa bil 10 wa Al Ahly bado nae anakosa magoli; hafungi. Mzize, Musonda na Konkon wanatosha kabisa, wapewe muda TU.
Ni Mfumo TU wa Mwl Gamondi hautegemei washambuliaji pekee kufunga magoli. Kama ni wachezaji waongezwe wale wa namba 6, namba 7 kwa moloko na namba 11 kusaidia Nzenheli.
Kama mkimwacha kizembe Hafiz konkon na akichukuliwa na ihefu mtaona atakavyosumbua timu zote.
Kwenye mashindano ya CAF timu zote hata zile kubwa zenye washambuliaji Bora ikiwemo Pyramids ambayo Mayelle anachezea bado zinapata shida sana kupata magoli pia.
Tusiingie hasara ya kuvunja mikataba ya wachezaji dirisha dogo eti kwa sababu ya kutafuta strikers, sio kweli kabisa. Maana hata akina Baleke na yule wa bil 10 wa Al Ahly bado nae anakosa magoli; hafungi. Mzize, Musonda na Konkon wanatosha kabisa, wapewe muda TU.
Ni Mfumo TU wa Mwl Gamondi hautegemei washambuliaji pekee kufunga magoli. Kama ni wachezaji waongezwe wale wa namba 6, namba 7 kwa moloko na namba 11 kusaidia Nzenheli.
Kama mkimwacha kizembe Hafiz konkon na akichukuliwa na ihefu mtaona atakavyosumbua timu zote.