Yanga epuka mpango wa kusajili washambuliaji dirisha dogo, walioko wanatosha kabisa

Yanga epuka mpango wa kusajili washambuliaji dirisha dogo, walioko wanatosha kabisa

Sema tu kocha Miguel Garmond naye siyo mtu wa kucheza na mind games! Kwenye mechi na Medeama, Hafiz Konkoni alitakiwa kuanza. Maana alikuwa yuko nyumbani. Hivyo asingekubali kucheza chini ya kiwango.

Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena! Alimuingiza dakika ya 85 ya mchezo, na bado madhara yake yalikuwa ni makubwa kuliko hata yale ya Musonda na Mzize waliocheza kwa vipindi vyote viwili vya mchezo.

Huyu mchezaji alitakiwa apewe mechi za kutosha, ndiyo ingekuwa rahisi kumfanyia tathmini. Binafsi siamini kama ni mshambuliaji mbaya.
Konkoni mpira upo basi tu kocha ana wenge
 
Sema tu kocha Miguel Garmond naye siyo mtu wa kucheza na mind games! Kwenye mechi na Medeama, Hafiz Konkoni alitakiwa kuanza. Maana alikuwa yuko nyumbani. Hivyo asingekubali kucheza chini ya kiwango.

Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena! Alimuingiza dakika ya 85 ya mchezo, na bado madhara yake yalikuwa ni makubwa kuliko hata yale ya Musonda na Mzize waliocheza kwa vipindi vyote viwili vya mchezo.

Huyu mchezaji alitakiwa apewe mechi za kutosha, ndiyo ingekuwa rahisi kumfanyia tathmini. Binafsi siamini kama ni mshambuliaji mbaya.
[emoji817] uko sahih kbsa
 
Walioppo wanatosha sioni sababu ya kuwanunua mastrike

Kwanza kwa SAS HV duniani kote Kuna shida za mastrike kote ulimwenguni Sasa huyo anaekuja atayoka wapi jmn
 
Walioppo wanatosha sioni sababu ya kuwanunua mastrike

Kwanza kwa SAS HV duniani kote Kuna shida za mastrike kote ulimwenguni Sasa huyo anaekuja atayoka wapi jmn
Hata El shahat hafungi sembuse Mzize
 
Naweza nikakuunga mkono
Niunge mkono tu kaka. Timu hii haihitaji kuacha mchezaji wala kupata mshambuliaji, waliopo wanatosha kabisa kwakuwa waliopo wanafunga magoli mengi kuliko timu zenye washambuliaji bora. Hata Hafiz huyu kama akipewa muda na mechi nyingi kwenye mashindano ya mapinduzi na kupewa mfumo unaotumia mawinga kumwaga maji kwa Konkoni naweza kuwa mchezaji hatari sana kikosini. Gamondi hataki mfumo unaoegemea kwa washambuliaji tu.
 
Back
Top Bottom