Huyu ni kocha kweikwei, amezima kiu ya wengi. hebu msikilize na wewe.Viongozi wanapokea taarifa ya kocha na wasaidizi wake kabla ya kufanya usajili na sio vinginevyo .
Konkoni mpira upo basi tu kocha ana wengeSema tu kocha Miguel Garmond naye siyo mtu wa kucheza na mind games! Kwenye mechi na Medeama, Hafiz Konkoni alitakiwa kuanza. Maana alikuwa yuko nyumbani. Hivyo asingekubali kucheza chini ya kiwango.
Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena! Alimuingiza dakika ya 85 ya mchezo, na bado madhara yake yalikuwa ni makubwa kuliko hata yale ya Musonda na Mzize waliocheza kwa vipindi vyote viwili vya mchezo.
Huyu mchezaji alitakiwa apewe mechi za kutosha, ndiyo ingekuwa rahisi kumfanyia tathmini. Binafsi siamini kama ni mshambuliaji mbaya.
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Musonda akipunguza sigara anaweza kuwa straika mzuri mbeleni.
[emoji817] uko sahih kbsaSema tu kocha Miguel Garmond naye siyo mtu wa kucheza na mind games! Kwenye mechi na Medeama, Hafiz Konkoni alitakiwa kuanza. Maana alikuwa yuko nyumbani. Hivyo asingekubali kucheza chini ya kiwango.
Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena! Alimuingiza dakika ya 85 ya mchezo, na bado madhara yake yalikuwa ni makubwa kuliko hata yale ya Musonda na Mzize waliocheza kwa vipindi vyote viwili vya mchezo.
Huyu mchezaji alitakiwa apewe mechi za kutosha, ndiyo ingekuwa rahisi kumfanyia tathmini. Binafsi siamini kama ni mshambuliaji mbaya.
Niunge mkono tu kaka. Timu hii haihitaji kuacha mchezaji wala kupata mshambuliaji, waliopo wanatosha kabisa kwakuwa waliopo wanafunga magoli mengi kuliko timu zenye washambuliaji bora. Hata Hafiz huyu kama akipewa muda na mechi nyingi kwenye mashindano ya mapinduzi na kupewa mfumo unaotumia mawinga kumwaga maji kwa Konkoni naweza kuwa mchezaji hatari sana kikosini. Gamondi hataki mfumo unaoegemea kwa washambuliaji tu.Naweza nikakuunga mkono