Yanga haina Daktari wa Timu?

Yanga haina Daktari wa Timu?

Kuchezesha Mzize aliyevimba macho kwa ugonjwa wa Red Eyes ni ushahidi wa wazi kwamba timu hii haina Daktari na ni aibu sana.

Uchunguzi unaonyesha kwamba Mzize amefunga mabao mawili baada ya Wachezaji wa Njombe kumuachia ili asiwaambukize, unamkabaje Mzee wa miba?

TFF inapaswa kuingilia kati jambo hili, iko siku tutawekewa mchezaji mwenye ukurutu ama TB.

Ulimpima wewe Kuona anaumwa iyo red eyes? Mtu akivimba tu macho basi ni red eyes?
 
Nimechukua likizo ya muda mrefu kwenye mijadala ya Simba na Yanga ila niseme tu kuwa hii ni kasoro kubwa sana iliyojitokeza leo. Utaruhusuje mchezaji aliye na ugonjwa wa kuambukiza acheze?

Pia niliwahi kuhoji kule Zanzibar kwenye Mapinduzi Cup kuhusu suala la shughuli rasmi ya TFF au ZFF (mfano kama leo mashindano ya FA) kuvamiwa na timu mojawapo kwa kufanya mambo binafsi kama kutambulisha wachezaji. Nilihoji kule Zanzibar na leo nakumbushia tu. Kiprotocali hii haijakaa sawa maana inaonyesha timu zinazocheza mechi hiyo hazina nguvu sawa katika mizania ya wanaoendesha mashindano husika.

Katika mambo yote haya mawili nazipeleka lawama zaidi kwa TFF kwa kushindwa kusimamia taratibu zake ipasavyo ingawa Yanga kwenye suala la Mzize wameonyesha uzembe mkubwa mnooo.
Nani alikuambia Red ayes ni ungonjwa wa kuambukiza?
 
Nimechukua likizo ya muda mrefu kwenye mijadala ya Simba na Yanga ila niseme tu kuwa hii ni kasoro kubwa sana iliyojitokeza leo. Utaruhusuje mchezaji aliye na ugonjwa wa kuambukiza acheze?

Pia niliwahi kuhoji kule Zanzibar kwenye Mapinduzi Cup kuhusu suala la shughuli rasmi ya TFF au ZFF (mfano kama leo mashindano ya FA) kuvamiwa na timu mojawapo kwa kufanya mambo binafsi kama kutambulisha wachezaji. Nilihoji kule Zanzibar na leo nakumbushia tu. Kiprotocali hii haijakaa sawa maana inaonyesha timu zinazocheza mechi hiyo hazina nguvu sawa katika mizania ya wanaoendesha mashindano husika.

Katika mambo yote haya mawili nazipeleka lawama zaidi kwa TFF kwa kushindwa kusimamia taratibu zake ipasavyo ingawa Yanga kwenye suala la Mzize wameonyesha uzembe mkubwa mnooo.
Wewe jamaa hua huna akili ila hujijui kutambulisha mchezaji kwenye mechi official mbona kawaida kaangalie siku PSG wanawatambilisha Messi, Ramos na Donarumma ilikua aje, Real Madrid wanafanya hizo mambo sana hasa timu ikipata tuzo au mchezaji akipewa tuzo inatambulishwa uwanjani kabla ya mechi, Man city pia walitambulisha kombe la dunia la vilabu sijui nongwa inatoka wapi
 
Wewe jamaa hua huna akili ila hujijui kutambulisha mchezaji kwenye mechi official mbona kawaida kaangalie siku PSG wanawatambilisha Messi, Ramos na Donarumma ilikua aje, Real Madrid wanafanya hizo mambo sana hasa timu ikipata tuzo au mchezaji akipewa tuzo inatambulishwa uwanjani kabla ya mechi, Man city pia walitambulisha kombe la dunia la vilabu sijui nongwa inatoka wapi
Wivu ni mzigo
 
Nimechukua likizo ya muda mrefu kwenye mijadala ya Simba na Yanga ila niseme tu kuwa hii ni kasoro kubwa sana iliyojitokeza leo. Utaruhusuje mchezaji aliye na ugonjwa wa kuambukiza acheze?

Pia niliwahi kuhoji kule Zanzibar kwenye Mapinduzi Cup kuhusu suala la shughuli rasmi ya TFF au ZFF (mfano kama leo mashindano ya FA) kuvamiwa na timu mojawapo kwa kufanya mambo binafsi kama kutambulisha wachezaji. Nilihoji kule Zanzibar na leo nakumbushia tu. Kiprotocali hii haijakaa sawa maana inaonyesha timu zinazocheza mechi hiyo hazina nguvu sawa katika mizania ya wanaoendesha mashindano husika.

Katika mambo yote haya mawili nazipeleka lawama zaidi kwa TFF kwa kushindwa kusimamia taratibu zake ipasavyo ingawa Yanga kwenye suala la Mzize wameonyesha uzembe mkubwa mnooo.
Wewe kichwa maji kabisa, tuambie ni kanuni ip au sheria ipi ya mpira wa miguu iliyovunjwa kwa Yanga kumtambulisha mchezaji siku ya mechi? Yanga ni mwenyeji wa mchezo hivyo ana uwezo wa kutumia muda kabla ya mechi haijaanza kufanya jambo lao au muda wa mapumziko. Asa chuki na wivu wako kwa Yanga usikutoe akili.
 
Nimechukua likizo ya muda mrefu kwenye mijadala ya Simba na Yanga ila niseme tu kuwa hii ni kasoro kubwa sana iliyojitokeza leo. Utaruhusuje mchezaji aliye na ugonjwa wa kuambukiza acheze?

Pia niliwahi kuhoji kule Zanzibar kwenye Mapinduzi Cup kuhusu suala la shughuli rasmi ya TFF au ZFF (mfano kama leo mashindano ya FA) kuvamiwa na timu mojawapo kwa kufanya mambo binafsi kama kutambulisha wachezaji. Nilihoji kule Zanzibar na leo nakumbushia tu. Kiprotocali hii haijakaa sawa maana inaonyesha timu zinazocheza mechi hiyo hazina nguvu sawa katika mizania ya wanaoendesha mashindano husika.

Katika mambo yote haya mawili nazipeleka lawama zaidi kwa TFF kwa kushindwa kusimamia taratibu zake ipasavyo ingawa Yanga kwenye suala la Mzize wameonyesha uzembe mkubwa mnooo.
Siku hizi mmekuwa na taaluma ya Udaktari? Mlimpima mkamuona anaumwa macho?
 
Wewe jamaa hua huna akili ila hujijui kutambulisha mchezaji kwenye mechi official mbona kawaida kaangalie siku PSG wanawatambilisha Messi, Ramos na Donarumma ilikua aje, Real Madrid wanafanya hizo mambo sana hasa timu ikipata tuzo au mchezaji akipewa tuzo inatambulishwa uwanjani kabla ya mechi, Man city pia walitambulisha kombe la dunia la vilabu sijui nongwa inatoka wapi
Niliwahi kusema humu kuwa SAYVILLE anaongoza kwa kuwa mweupe kichwani kwenye hili jukwaa.
 
Kuchezesha Mzize aliyevimba macho kwa ugonjwa wa Red Eyes ni ushahidi wa wazi kwamba timu hii haina Daktari na ni aibu sana.

Uchunguzi unaonyesha kwamba Mzize amefunga mabao mawili baada ya Wachezaji wa Njombe kumuachia ili asiwaambukize, unamkabaje Mzee wa miba?

TFF inapaswa kuingilia kati jambo hili, iko siku tutawekewa mchezaji mwenye ukurutu ama TB.

😁😂😂
 
Siku hizi mmekuwa na taaluma ya Udaktari? Mlimpima mkamuona anaumwa macho?
Mtangazaji wa AZAM TV anayejulikana ni shabiki lia lia wa Deportivo de Utopolo aliyasema maneno hayo katika matangazo ya mechi hiyo. Bila kumsikia yeye wala nisingejua haya. Inawezekana mlidhani ni sifa ndiyo maana kuna wengine wanajisifu pamoja na kuumwa bado amepiga hattrick. Kaeni chini mkubaliane mjibu nini kuhusu tuhuma hizi ndiyo mtujibu maana mnarukaruka tu kama maharage ya Mbeya.

Kwa kumalizia, ukiendelea kunitaja halafu unaandika maneno unayotoa matakoni badala ya kujibu hoja zangu, nitakublock na hautanisikia milele tena hata ujilize vipi.
 
Wewe kichwa maji kabisa, tuambie ni kanuni ip au sheria ipi ya mpira wa miguu iliyovunjwa kwa Yanga kumtambulisha mchezaji siku ya mechi? Yanga ni mwenyeji wa mchezo hivyo ana uwezo wa kutumia muda kabla ya mechi haijaanza kufanya jambo lao au muda wa mapumziko. Asa chuki na wivu wako kwa Yanga usikutoe akili.
Deportivo de Utopolo hakuwa mwenyeji wa mechi ya jana wala hakuwa mwenyeji wa mechi ile aliyotambulishwa Okrah kule Zanzibar.

Hata ukisema ufanye hivyo kwa kuwa ni mwenyeji kuna namna ya kufanya bila kuonekana kuwa ni shughuli binafsi ya klabu. Unadhani kwenye mechi ya CAF, Utopolo de Dar es Salaam kwa kuwa tu anacheza kwa Mkapa wanaweza kujiamulia wakati wa mapumziko kumshusha uwanjani MC Mboneke halafu wakazima taa za uwanjani ili kumtambulisha mlevi mmoja kama mchezaji wao mpya?
 
Ukihoji mambo kama haya Watakuona wewe Kolo au Utopolo kutegemea na upande uliohoji.
Hahahahahahaha..kuna mtu hapo juu anadai yanga inaendeshwa na wahuni...kasahau kuwa ana uzi humu anawaita viongozi wa simba wahuni wajinga ..watanzania bhana
 
Mtangazaji wa AZAM TV anayejulikana ni shabiki lia lia wa Deportivo de Utopolo aliyasema maneno hayo katika matangazo ya mechi hiyo. Bila kumsikia yeye wala nisingejua haya. Kaeni chini mkubaliane mjibu nini kuhusu tuhuma hizi ndiyo mtujibu maana mnarukaruka tu kama maharage ya Mbeya.
Hahahahahaha kwahiyo mtangazaji alimpima ? Sio kwamba ametoka kupona ?

Ila watanzania nisiwaingilie mnajuana
 
Kuchezesha Mzize aliyevimba macho kwa ugonjwa wa Red Eyes ni ushahidi wa wazi kwamba timu hii haina Daktari na ni aibu sana.

Uchunguzi unaonyesha kwamba Mzize amefunga mabao mawili baada ya Wachezaji wa Njombe kumuachia ili asiwaambukize, unamkabaje Mzee wa miba?

TFF inapaswa kuingilia kati jambo hili, iko siku tutawekewa mchezaji mwenye ukurutu ama TB.

Halafu ukiwasikia wao wanavyotetea ndipo utajua hii timu mwenye akili ni mmoja tu JK peke yake.
 
Hahahahahaha kwahiyo mtangazaji alimpima ? Sio kwamba ametoka kupona ?

Ila watanzania nisiwaingilie mnajuana
Yeye kama mwandishi wa media rasmi ya mashindano ndiyo amepewa mamlaka rasmi inayotambulika ya kutupa taarifa mubashara ya kile kinachotokea uwanjani. Badala ya kuuliza kama aliyetoa taarifa alimpima mnatushambulia sisi tunaotumia taarifa hizo tulizopokea. Halafu mnapata ujasiri wa kutuhoji sisi.
 
Mtangazaji wa AZAM TV anayejulikana ni shabiki lia lia wa Deportivo de Utopolo aliyasema maneno hayo katika matangazo ya mechi hiyo. Bila kumsikia yeye wala nisingejua haya. Inawezekana mlidhani ni sifa ndiyo maana kuna wengine wanajisifu pamoja na kuumwa bado amepiga hattrick. Kaeni chini mkubaliane mjibu nini kuhusu tuhuma hizi ndiyo mtujibu maana mnarukaruka tu kama maharage ya Mbeya.

Kwa kumalizia, ukiendelea kunitaja halafu unaandika maneno unayotoa matakoni badala ya kujibu hoja zangu, nitakublock na hautanisikia milele tena hata ujilize vipi.
Kwahiyo siku hizi watangazaji ndio madaktari? Mchezaji anayeumwa hawezi kuwa comfortable hata kidogo kucheza mpira. Ukiona mtu anacheza mpira basi ujue yupo 100% mental and physical fit.
 
Yeye kama mwandishi wa media rasmi ya mashindano ndiyo amepewa mamlaka rasmi inayotambulika ya kutupa taarifa mubashara ya kile kinachotokea uwanjani. Badala ya kuuliza kama aliyetoa taarifa alimpima mnatushambulia sisi tunaotumia taarifa hizo tulizopokea. Halafu mnapata ujasiri wa kutuhoji sisi.
Hahahahahaha..kamisaa na refa wasingemuruhusu kucheza
 
Kwahiyo siku hizi watangazaji ndio madaktari? Mchezaji anayeumwa hawezi kuwa comfortable hata kidogo kucheza mpira. Ukiona mtu anacheza mpira basi ujue yupo 100% mental and physical fit.
Soma post #37
 
Back
Top Bottom