Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 783
- 2,057
Ulimpima wewe Kuona anaumwa iyo red eyes? Mtu akivimba tu macho basi ni red eyes?Kuchezesha Mzize aliyevimba macho kwa ugonjwa wa Red Eyes ni ushahidi wa wazi kwamba timu hii haina Daktari na ni aibu sana.
Uchunguzi unaonyesha kwamba Mzize amefunga mabao mawili baada ya Wachezaji wa Njombe kumuachia ili asiwaambukize, unamkabaje Mzee wa miba?
TFF inapaswa kuingilia kati jambo hili, iko siku tutawekewa mchezaji mwenye ukurutu ama TB.
Nani alikuambia Red ayes ni ungonjwa wa kuambukiza?Nimechukua likizo ya muda mrefu kwenye mijadala ya Simba na Yanga ila niseme tu kuwa hii ni kasoro kubwa sana iliyojitokeza leo. Utaruhusuje mchezaji aliye na ugonjwa wa kuambukiza acheze?
Pia niliwahi kuhoji kule Zanzibar kwenye Mapinduzi Cup kuhusu suala la shughuli rasmi ya TFF au ZFF (mfano kama leo mashindano ya FA) kuvamiwa na timu mojawapo kwa kufanya mambo binafsi kama kutambulisha wachezaji. Nilihoji kule Zanzibar na leo nakumbushia tu. Kiprotocali hii haijakaa sawa maana inaonyesha timu zinazocheza mechi hiyo hazina nguvu sawa katika mizania ya wanaoendesha mashindano husika.
Katika mambo yote haya mawili nazipeleka lawama zaidi kwa TFF kwa kushindwa kusimamia taratibu zake ipasavyo ingawa Yanga kwenye suala la Mzize wameonyesha uzembe mkubwa mnooo.
Wewe jamaa hua huna akili ila hujijui kutambulisha mchezaji kwenye mechi official mbona kawaida kaangalie siku PSG wanawatambilisha Messi, Ramos na Donarumma ilikua aje, Real Madrid wanafanya hizo mambo sana hasa timu ikipata tuzo au mchezaji akipewa tuzo inatambulishwa uwanjani kabla ya mechi, Man city pia walitambulisha kombe la dunia la vilabu sijui nongwa inatoka wapiNimechukua likizo ya muda mrefu kwenye mijadala ya Simba na Yanga ila niseme tu kuwa hii ni kasoro kubwa sana iliyojitokeza leo. Utaruhusuje mchezaji aliye na ugonjwa wa kuambukiza acheze?
Pia niliwahi kuhoji kule Zanzibar kwenye Mapinduzi Cup kuhusu suala la shughuli rasmi ya TFF au ZFF (mfano kama leo mashindano ya FA) kuvamiwa na timu mojawapo kwa kufanya mambo binafsi kama kutambulisha wachezaji. Nilihoji kule Zanzibar na leo nakumbushia tu. Kiprotocali hii haijakaa sawa maana inaonyesha timu zinazocheza mechi hiyo hazina nguvu sawa katika mizania ya wanaoendesha mashindano husika.
Katika mambo yote haya mawili nazipeleka lawama zaidi kwa TFF kwa kushindwa kusimamia taratibu zake ipasavyo ingawa Yanga kwenye suala la Mzize wameonyesha uzembe mkubwa mnooo.
Wivu ni mzigoWewe jamaa hua huna akili ila hujijui kutambulisha mchezaji kwenye mechi official mbona kawaida kaangalie siku PSG wanawatambilisha Messi, Ramos na Donarumma ilikua aje, Real Madrid wanafanya hizo mambo sana hasa timu ikipata tuzo au mchezaji akipewa tuzo inatambulishwa uwanjani kabla ya mechi, Man city pia walitambulisha kombe la dunia la vilabu sijui nongwa inatoka wapi
Mbumbumbu ni wengi hii nchiWivu ni mzigo
Wewe kichwa maji kabisa, tuambie ni kanuni ip au sheria ipi ya mpira wa miguu iliyovunjwa kwa Yanga kumtambulisha mchezaji siku ya mechi? Yanga ni mwenyeji wa mchezo hivyo ana uwezo wa kutumia muda kabla ya mechi haijaanza kufanya jambo lao au muda wa mapumziko. Asa chuki na wivu wako kwa Yanga usikutoe akili.Nimechukua likizo ya muda mrefu kwenye mijadala ya Simba na Yanga ila niseme tu kuwa hii ni kasoro kubwa sana iliyojitokeza leo. Utaruhusuje mchezaji aliye na ugonjwa wa kuambukiza acheze?
Pia niliwahi kuhoji kule Zanzibar kwenye Mapinduzi Cup kuhusu suala la shughuli rasmi ya TFF au ZFF (mfano kama leo mashindano ya FA) kuvamiwa na timu mojawapo kwa kufanya mambo binafsi kama kutambulisha wachezaji. Nilihoji kule Zanzibar na leo nakumbushia tu. Kiprotocali hii haijakaa sawa maana inaonyesha timu zinazocheza mechi hiyo hazina nguvu sawa katika mizania ya wanaoendesha mashindano husika.
Katika mambo yote haya mawili nazipeleka lawama zaidi kwa TFF kwa kushindwa kusimamia taratibu zake ipasavyo ingawa Yanga kwenye suala la Mzize wameonyesha uzembe mkubwa mnooo.
Siku hizi mmekuwa na taaluma ya Udaktari? Mlimpima mkamuona anaumwa macho?Nimechukua likizo ya muda mrefu kwenye mijadala ya Simba na Yanga ila niseme tu kuwa hii ni kasoro kubwa sana iliyojitokeza leo. Utaruhusuje mchezaji aliye na ugonjwa wa kuambukiza acheze?
Pia niliwahi kuhoji kule Zanzibar kwenye Mapinduzi Cup kuhusu suala la shughuli rasmi ya TFF au ZFF (mfano kama leo mashindano ya FA) kuvamiwa na timu mojawapo kwa kufanya mambo binafsi kama kutambulisha wachezaji. Nilihoji kule Zanzibar na leo nakumbushia tu. Kiprotocali hii haijakaa sawa maana inaonyesha timu zinazocheza mechi hiyo hazina nguvu sawa katika mizania ya wanaoendesha mashindano husika.
Katika mambo yote haya mawili nazipeleka lawama zaidi kwa TFF kwa kushindwa kusimamia taratibu zake ipasavyo ingawa Yanga kwenye suala la Mzize wameonyesha uzembe mkubwa mnooo.
Niliwahi kusema humu kuwa SAYVILLE anaongoza kwa kuwa mweupe kichwani kwenye hili jukwaa.Wewe jamaa hua huna akili ila hujijui kutambulisha mchezaji kwenye mechi official mbona kawaida kaangalie siku PSG wanawatambilisha Messi, Ramos na Donarumma ilikua aje, Real Madrid wanafanya hizo mambo sana hasa timu ikipata tuzo au mchezaji akipewa tuzo inatambulishwa uwanjani kabla ya mechi, Man city pia walitambulisha kombe la dunia la vilabu sijui nongwa inatoka wapi
😁😂😂Kuchezesha Mzize aliyevimba macho kwa ugonjwa wa Red Eyes ni ushahidi wa wazi kwamba timu hii haina Daktari na ni aibu sana.
Uchunguzi unaonyesha kwamba Mzize amefunga mabao mawili baada ya Wachezaji wa Njombe kumuachia ili asiwaambukize, unamkabaje Mzee wa miba?
TFF inapaswa kuingilia kati jambo hili, iko siku tutawekewa mchezaji mwenye ukurutu ama TB.
😁😂😂🤣DuhYanga ni kikundi cha wahuni
Mtangazaji wa AZAM TV anayejulikana ni shabiki lia lia wa Deportivo de Utopolo aliyasema maneno hayo katika matangazo ya mechi hiyo. Bila kumsikia yeye wala nisingejua haya. Inawezekana mlidhani ni sifa ndiyo maana kuna wengine wanajisifu pamoja na kuumwa bado amepiga hattrick. Kaeni chini mkubaliane mjibu nini kuhusu tuhuma hizi ndiyo mtujibu maana mnarukaruka tu kama maharage ya Mbeya.Siku hizi mmekuwa na taaluma ya Udaktari? Mlimpima mkamuona anaumwa macho?
Deportivo de Utopolo hakuwa mwenyeji wa mechi ya jana wala hakuwa mwenyeji wa mechi ile aliyotambulishwa Okrah kule Zanzibar.Wewe kichwa maji kabisa, tuambie ni kanuni ip au sheria ipi ya mpira wa miguu iliyovunjwa kwa Yanga kumtambulisha mchezaji siku ya mechi? Yanga ni mwenyeji wa mchezo hivyo ana uwezo wa kutumia muda kabla ya mechi haijaanza kufanya jambo lao au muda wa mapumziko. Asa chuki na wivu wako kwa Yanga usikutoe akili.
Hahahahahahaha..kuna mtu hapo juu anadai yanga inaendeshwa na wahuni...kasahau kuwa ana uzi humu anawaita viongozi wa simba wahuni wajinga ..watanzania bhanaUkihoji mambo kama haya Watakuona wewe Kolo au Utopolo kutegemea na upande uliohoji.
Hahahahahaha kwahiyo mtangazaji alimpima ? Sio kwamba ametoka kupona ?Mtangazaji wa AZAM TV anayejulikana ni shabiki lia lia wa Deportivo de Utopolo aliyasema maneno hayo katika matangazo ya mechi hiyo. Bila kumsikia yeye wala nisingejua haya. Kaeni chini mkubaliane mjibu nini kuhusu tuhuma hizi ndiyo mtujibu maana mnarukaruka tu kama maharage ya Mbeya.
Halafu ukiwasikia wao wanavyotetea ndipo utajua hii timu mwenye akili ni mmoja tu JK peke yake.Kuchezesha Mzize aliyevimba macho kwa ugonjwa wa Red Eyes ni ushahidi wa wazi kwamba timu hii haina Daktari na ni aibu sana.
Uchunguzi unaonyesha kwamba Mzize amefunga mabao mawili baada ya Wachezaji wa Njombe kumuachia ili asiwaambukize, unamkabaje Mzee wa miba?
TFF inapaswa kuingilia kati jambo hili, iko siku tutawekewa mchezaji mwenye ukurutu ama TB.
Yeye kama mwandishi wa media rasmi ya mashindano ndiyo amepewa mamlaka rasmi inayotambulika ya kutupa taarifa mubashara ya kile kinachotokea uwanjani. Badala ya kuuliza kama aliyetoa taarifa alimpima mnatushambulia sisi tunaotumia taarifa hizo tulizopokea. Halafu mnapata ujasiri wa kutuhoji sisi.Hahahahahaha kwahiyo mtangazaji alimpima ? Sio kwamba ametoka kupona ?
Ila watanzania nisiwaingilie mnajuana
Kwahiyo siku hizi watangazaji ndio madaktari? Mchezaji anayeumwa hawezi kuwa comfortable hata kidogo kucheza mpira. Ukiona mtu anacheza mpira basi ujue yupo 100% mental and physical fit.Mtangazaji wa AZAM TV anayejulikana ni shabiki lia lia wa Deportivo de Utopolo aliyasema maneno hayo katika matangazo ya mechi hiyo. Bila kumsikia yeye wala nisingejua haya. Inawezekana mlidhani ni sifa ndiyo maana kuna wengine wanajisifu pamoja na kuumwa bado amepiga hattrick. Kaeni chini mkubaliane mjibu nini kuhusu tuhuma hizi ndiyo mtujibu maana mnarukaruka tu kama maharage ya Mbeya.
Kwa kumalizia, ukiendelea kunitaja halafu unaandika maneno unayotoa matakoni badala ya kujibu hoja zangu, nitakublock na hautanisikia milele tena hata ujilize vipi.
Hahahahahaha..kamisaa na refa wasingemuruhusu kuchezaYeye kama mwandishi wa media rasmi ya mashindano ndiyo amepewa mamlaka rasmi inayotambulika ya kutupa taarifa mubashara ya kile kinachotokea uwanjani. Badala ya kuuliza kama aliyetoa taarifa alimpima mnatushambulia sisi tunaotumia taarifa hizo tulizopokea. Halafu mnapata ujasiri wa kutuhoji sisi.
Soma post #37Kwahiyo siku hizi watangazaji ndio madaktari? Mchezaji anayeumwa hawezi kuwa comfortable hata kidogo kucheza mpira. Ukiona mtu anacheza mpira basi ujue yupo 100% mental and physical fit.