Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
[emoji2]Utopolo haiwezi kushinda mechi yoyote bila kutumia mbinu chafu ya kupitisha bahasha za khaki kwa timu pinzani. Hiyo mbinu ndiyo ilisababisha wakapata ubingwa wa ligi msimu uliopita. Utopolo ni timu mbovu, haiwezi kuifunga Simba, the unstoppable. Timu yenye Chama, Okra, Okwa, Sakho, Inonga na mdhungu. Ni bahasha tu ilitumika jana ili tufungwe.
Basi wanasimba wenzangu, naomba tujuzeni kama mgao wetu mashabiki umetoka ili tupate japo chai maana njaa inauma sana.
Fumbafu thanaUtopolo haiwezi kushinda mechi yoyote bila kutumia mbinu chafu ya kupitisha bahasha za khaki kwa timu pinzani. Hiyo mbinu ndiyo ilisababisha wakapata ubingwa wa ligi msimu uliopita. Utopolo ni timu mbovu, haiwezi kuifunga Simba, the unstoppable. Timu yenye Chama, Okra, Okwa, Sakho, Inonga na mdhungu. Ni bahasha tu ilitumika jana ili tufungwe.
Basi wanasimba wenzangu, naomba tujuzane kama mgao wetu mashabiki umetoka ili tupate japo chai maana njaa inauma sana.
Basi kama ni hivyo Kocha, na mwamuzi wamechukua bahasha ya GSM!Pamoja na mapungufu ya refa magoli yote tumefingwa kizembe na kuchangisa na upangaji mbovu wa timu
Ndio bahasha zilipita huko?Uliona ule mlango waliongilia wakipigwa faini waanzee kulaumu tff
Ndiyo ulisababisha mfungwe?Uliona ule mlango waliongilia wakipigwa faini waanzee kulaumu tff
Hapana tumefungwa Kwa mapungufu yetuBasi kama ni hivyo Kocha, na mwamuzi wamechukua bahasha ya GSM!
Haiwezekani timu ambayo imekuja na kauli mbiu yake ya unstoppable, msimu huu! iwe ghafla tu stoppable!! Hii ni hujuma ya wazi kabisa
Utopolo haiwezi kushinda mechi yoyote bila kutumia mbinu chafu ya kupitisha bahasha za khaki kwa timu pinzani. Hiyo mbinu ndiyo ilisababisha wakapata ubingwa wa ligi msimu uliopita. Utopolo ni timu mbovu, haiwezi kuifunga Simba, the unstoppable. Timu yenye Chama, Okra, Okwa, Sakho, Inonga na mdhungu. Ni bahasha tu ilitumika jana ili tufungwe.
Basi wanasimba wenzangu, naomba tujuzane kama mgao wetu mashabiki umetoka ili tupate japo chai maana njaa inauma sana.