Yanga: Haji Manara hajatendewa haki, tunamuunga mkono kudai haki vyombo vya juu zaidi

Yanga: Haji Manara hajatendewa haki, tunamuunga mkono kudai haki vyombo vya juu zaidi

Yanga: Tunamuunga mkono manara kudai haki vyombo vya juu zaidi

Klabu ya Yanga imesema kuwa adhabu ya Ofisa Habari wao, Haji Manara kufungiwa miaka miwili kujihusisha na soka na faini ya Tsh. Milioni 20 siyo ya haki na adhabu ni kubwa.

Yanga wametoa tamko na kueleza kuwa inamuunga mkono Manara katika kudai haki yake kwenye vyombo vya juu zaidi vya kimamlaka. Adhabu ya Afisa huyo imetangazwa leo Julai 21, 2022 na Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania.
Iko hivi
FB_IMG_1655579378566.jpg
 
Club ya Yanga imetoa tamko lake kuhusu hukumu aliyopewa Msemaji wake Haji Manara na kusema hajatendewa haki hivyo inamuunga mkono katika kudai haki yake kwenye vyombo vya juu zaidi vya kimamlaka.

“Uongozi wa Club umepokea kwa masikitiko makubwa uamuzi wa Kamati ya maadili ya TFF, adhabu hii inakwenda kuathiri moja kwa moja mchango wa Ndugu Haji Manara katika maendeleo ya mpira wa miguu kwenye Club yake, Ligi Kuu Znz, Ligi Kuu Tanzania bara na Nchi jirani (Burundi) ambazo amezihudumu” imeeleza taarifa ya Yanga.

My take: Karia wewe ni mtu mdogo sana, nazidi kumsihi ndugu Majaliwa aliye kuweka hapo kuwa akupigie simu kukujulisha kuwa wewe ni mdogo sana. Namkumbusha ndugu Majaliwa kuwa alikupigia simu wewe baada ya yeye kupokea simu toka sehemu nyingine. Atafakari.
Huu ni ujinga sasa ,Haji kahukumiwa na jopo si TFF hata aende wapi hakuna msaada
 
Yanga ni timu inayosikitisha sana , kumbe ndiyo maana wamechukua ubingwa wa ndani mara nyingi ila huko nje wanazidiwa na Simba
They are arrogant kwa kweli ,mtu akosee ninyi mpinge adhabu ,hii ni professionalism ya wapi !?
 
Kwani adhabu za kufungiwa ndio zimeanza leo? Wasiingize siasa kwenye mpira.. kamati imefanya kazi yake iheshimiwe.
 
Unafiki umetawala mpira wa Tanzania kwa kiwango cha juu sana, kote kuanzia viongozi wa vilabu, mashabiki wao, mpaka wasemaji uchwara wasio na kichwa wala miguu.

Huyu Haji anayeonekana leo ameonewa, ni yeye aliyekuwa wa kwanza kuomba msamaha, tena mwenyewe akasema msamaha wake hauhusiani na adhabu atakayopewa, huyu alikiri kosa, ajabu ameadhibiwa wanatokea wenye kumbukumbu fupi wanaona ameonewa.

Kwangu Manara anastahili adhabu aliyopewa, huruma za ajabu za kumtetea zinazoibuka sasa ni mfano tu wa tabia za kinafiki za watanzania. Manara alikuwa anafungua hovyo mdomo wake asijue alikuwa anajipeleka shimoni, sasa ni wakati wake kula amatunda ya ule ujinga wake.
 
Yanga: Tunamuunga mkono manara kudai haki vyombo vya juu zaidi

Klabu ya Yanga imesema kuwa adhabu ya Ofisa Habari wao, Haji Manara kufungiwa miaka miwili kujihusisha na soka na faini ya Tsh. Milioni 20 siyo ya haki na adhabu ni kubwa.

Yanga wametoa tamko na kueleza kuwa inamuunga mkono Manara katika kudai haki yake kwenye vyombo vya juu zaidi vya kimamlaka. Adhabu ya Afisa huyo imetangazwa leo Julai 21, 2022 na Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania.
Wangeandika na adhabu wanayopendekeza apewe.😂😂😂😂
 
Wakati anafanya ujinga wa kutukana na kukejeli watu walikaa kimya leo yamemfika wanaanza kulia lia waache waende wakapigwe faini kama walishindwa kwenye kesi ya Morrison mchezaji wao ndo itakuwa hyo ya msekule ambayo CAF hawaitambui hyo nafasi yake.
 
Huyo manara ilitakiwa hata kushika mpira au kupiga danadana tu asiruhusiwe pia.
 
Huyu Karia mbona kama uongozi wake ndio unaongoza kufungia watu na fine zisizo na mashiko.
Kumbe na kwenye mpira pi hakuna demokrasia!
Wallace Karia ni mjinga mmoja hivi mwenye itikadi za kimagufuli. Binafsi nilimdharau siku za mwanzoni za uongozi wake kwa kutoa ile kauli yake ya kuwachukulia hatua kali watu wote wenye tabia za utundulisu! Yaani watu wenye mawazo mbadala.

Mimi si shabiki wa Haji Manara na ule mdomo wake mchafu! Ila namuunga mkono katika jambo hili la kumkoromea huyo Karia hadharani, maana anajiona kama mungu mtu vile.

Anataka aogopwe kama Rais nchi! na wakati yeye ni rais tu wa TFF! Na ambaye hana tofauti yoyote ile na rais wa CWT, simba, Yanga, Wasafi, FM Academia, nk.
 
Wallace Karia ni mjinga mmoja hivi mwenye itikadi za kimagufuli. Binafsi nilimdharau siku za mwanzoni za uongozi wake kwa kutoa ile kauli yake ya kuwachukulia hatua kali watu wote wenye tabia za utundulisu! Yaani watu wenye mawazo mbadala.

Mimi si shabiki wa Haji Manara na ule mdomo wake mchafu! Ila namuunga mkono katika jambo hili la kumkoromea huyo Karia hadharani, maana anajiona kama mungu mtu vile.

Anataka aogopwe kama Rais nchi! na wakati yeye ni rais tu wa TFF! Na ambaye hana tofauti yoyote ile na rais wa CWT, simba, Yanga, Wasafi, FM Academia, nk.
Yanga wenye akili ni mzee manara na kikwete pekeyao wengine wote vilaza
 
Wallace Karia ni mjinga mmoja hivi mwenye itikadi za kimagufuli. Binafsi nilimdharau siku za mwanzoni za uongozi wake kwa kutoa ile kauli yake ya kuwachukulia hatua kali watu wote wenye tabia za utundulisu! Yaani watu wenye mawazo mbadala.

Mimi si shabiki wa Haji Manara na ule mdomo wake mchafu! Ila namuunga mkono katika jambo hili la kumkoromea huyo Karia hadharani, maana anajiona kama mungu mtu vile.

Anataka aogopwe kama Rais nchi! na wakati yeye ni rais tu wa TFF! Na ambaye hana tofauti yoyote ile na rais wa CWT, simba, Yanga, Wasafi, FM Academia, nk.
Shostieeeee utapasuka bureeee, wee kamlipie faini shogaa ako Takadini. Acha kulia lia bhana.

Byuti byuti

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yanga: Tunamuunga mkono manara kudai haki vyombo vya juu zaidi

Klabu ya Yanga imesema kuwa adhabu ya Ofisa Habari wao, Haji Manara kufungiwa miaka miwili kujihusisha na soka na faini ya Tsh. Milioni 20 siyo ya haki na adhabu ni kubwa.

Yanga wametoa tamko na kueleza kuwa inamuunga mkono Manara katika kudai haki yake kwenye vyombo vya juu zaidi vya kimamlaka. Adhabu ya Afisa huyo imetangazwa leo Julai 21, 2022 na Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania.
Okay
 
Back
Top Bottom