Yanga hatofuzu kwenda makundi, naiona draw kwa Mkapa

Yanga hatofuzu kwenda makundi, naiona draw kwa Mkapa

Metronidazole 400mg

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
941
Reaction score
2,062
Wale wanangu, ambao mnanikubali na kunifuatilia hapa JF nawapenda na kuwakubali sana, kama nyingi mnavyonipenda na kuja PM kunipongeza kwa tabiri zangu hapa JF ambazo kwa asilimia kubwa Huwa zinatiki, sio matokeo TU Bali kwenye angles mbalimbali za mpira na soka letu la hapa tz

Wanangu hii nyingine nawapa muishi nao, Yanga haiwezi toboa kwenda robo fainali sababu zinaweza kuwa ndogo ila za msingi sana ( zinahitaji akili kubwa kuzielewa )

1. Yanga kachukua points nne dhidi ya mazembe ambayo ipo dhoofu Sanaa

2. Kachukua points 3 kwa Al hilal, ila unahisi Jana Yanga alistahili kushinda??, zile chances za hatari ambazo Al hilal walitengeneza na kushinda kubadilisha kuwa mabao unahisi waarabu ( mc alger) haiwezi kuwa turning point Yao?

Tuishi humu wanangu naona kabisa Yanga hafuzu

Nb: haya ni mawazo na utabiri wangu, sio lazima ukubaliane nao, kama unabisha tuache muda uondee alafu ruksa kunikosoa ( sio ugomvi sawa??? )
 
Wale wanangu, ambao mnanikubali na kunifuatilia hapa JF nawapenda na kuwakubali sana, kama nyingi mnavyonipenda na kuja PM kunipongeza kwa tabiri zangu hapa JF ambazo kwa asilimia kubwa Huwa zinatiki, sio matokeo TU Bali kwenye angles mbalimbali za mpira na soka letu la hapa tz

Wanangu hii nyingine nawapa muishi nao, Yanga haiwezi toboa kwenda robo fainali sababu zinaweza kuwa ndogo ila za msingi sana ( zinahitaji akili kubwa kuzielewa )

1. Yanga kachukua points nne dhidi ya mazembe ambayo ipo dhoofu Sanaa

2. Kachukua points 3 kwa Al hilal, ila unahisi Jana Yanga alistahili kushinda??, zile chances za hatari ambazo Al hilal walitengeneza na kushinda kubadilisha kuwa mabao unahisi waarabu ( mc alger) haiwezi kuwa turning point Yao?

Tuishi humu wanangu naona kabisa Yanga hafuzu

Nb: haya ni mawazo na utabiri wangu, sio lazima ukubaliane nao, kama unabisha tuache muda uondee alafu ruksa kunikosoa ( sio ugomvi sawa??? )
Fumbua macho mkuu, Acha kuitizama Yanga usingizini
 
Bado huujui Mpira wewe!

Mshindi Wa world cup Argentina na Ubora wao. Walikufa Kwa saud arabia Kwa Goli kadhaa na wakipoteza mechi lakini still waliweza kupambana na wakafika mwisho. Ili Hali huyo saud Arabia aliyemfunga Argentina hata robo hakutoboa.

Yanga akifungwa na Belozdad Goli 3 away. Na ilionekana kama haiwazekani Kwa Yanga kumfunga belozdad hata Goli mbili. Matokeo Yake wakafa NNE bila, na Yanga akafika Hadi Fainali.

Sembuse Ushindi wowote hata Wa Goli moja?
 
Wale wanangu, ambao mnanikubali na kunifuatilia hapa JF nawapenda na kuwakubali sana, kama nyingi mnavyonipenda na kuja PM kunipongeza kwa tabiri zangu hapa JF ambazo kwa asilimia kubwa Huwa zinatiki, sio matokeo TU Bali kwenye angles mbalimbali za mpira na soka letu la hapa tz

Wanangu hii nyingine nawapa muishi nao, Yanga haiwezi toboa kwenda robo fainali sababu zinaweza kuwa ndogo ila za msingi sana ( zinahitaji akili kubwa kuzielewa )

1. Yanga kachukua points nne dhidi ya mazembe ambayo ipo dhoofu Sanaa

2. Kachukua points 3 kwa Al hilal, ila unahisi Jana Yanga alistahili kushinda??, zile chances za hatari ambazo Al hilal walitengeneza na kushinda kubadilisha kuwa mabao unahisi waarabu ( mc alger) haiwezi kuwa turning point Yao?

Tuishi humu wanangu naona kabisa Yanga hafuzu

Nb: haya ni mawazo na utabiri wangu, sio lazima ukubaliane nao, kama unabisha tuache muda uondee alafu ruksa kunikosoa ( sio ugomvi sawa??? )
Kwani Yanga hakutengeneza nafasi kwenye mechi ya Al hilal. Shot on target Yanga aliongoza.
 
Mashabiki wa Yanga jana wameota wameingia robo fainali na ndoto yao inafanana hivi.

1000041951.jpg
 
Wale wanangu, ambao mnanikubali na kunifuatilia hapa JF nawapenda na kuwakubali sana, kama nyingi mnavyonipenda na kuja PM kunipongeza kwa tabiri zangu hapa JF ambazo kwa asilimia kubwa Huwa zinatiki, sio matokeo TU Bali kwenye angles mbalimbali za mpira na soka letu la hapa tz

Wanangu hii nyingine nawapa muishi nao, Yanga haiwezi toboa kwenda robo fainali sababu zinaweza kuwa ndogo ila za msingi sana ( zinahitaji akili kubwa kuzielewa )

1. Yanga kachukua points nne dhidi ya mazembe ambayo ipo dhoofu Sanaa

2. Kachukua points 3 kwa Al hilal, ila unahisi Jana Yanga alistahili kushinda??, zile chances za hatari ambazo Al hilal walitengeneza na kushinda kubadilisha kuwa mabao unahisi waarabu ( mc alger) haiwezi kuwa turning point Yao?

Tuishi humu wanangu naona kabisa Yanga hafuzu

Nb: haya ni mawazo na utabiri wangu, sio lazima ukubaliane nao, kama unabisha tuache muda uondee alafu ruksa kunikosoa ( sio ugomvi sawa??? )
Weka na ahadi yako basi iwapo itafuzu ili tuamini kama kweli wewe ni mtabiri zaidi ya Mzee Yahya. Sema kama uko tayari kuvishwa shanga kiunoni iwapo tu itafuzu, ili nichukue hilo jukumu.
 
Nimesikitika sana maoni haya kutolewa na dawa ya 400mg..
Yani hizo ndio sababu ulizoona zina mashiko kabisa et walitengeneza nafasi nyingi za hatari kama zipi?
Mashuti yaliyolenga lango Yanga ilipiga 5 wakati wao wakawa na 2..
Hata yale ambayo hayakulenga lango Yanga pia iliongoza sasa nambie kwa takwimu hizo ni nani aliefikiwa sana?
Haya hao Mazembe unaosema ni unga wamecheza na hao unaosema ni bora tena kwao lakini wameshinda kwa binde kwa kagoli ka penati lakini hapa kwa Mkapa Yanga alimkanda goli tatu zilizonyooka kabisa..
Jifunze mpira kolo au kama vipi endelea na kazi ya uganga wa kienyeji mbona bado kuna maboya kibao ya kuyapiga..
 
Back
Top Bottom