Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Tunayataka hayo malipo msimu huu mkuuMimi sijaongea swala la malipo
Ila malipo hayo hayo ya confederation ndo mashabiki wa simba mlikua mnayaponda kwamba ni kiduchu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunayataka hayo malipo msimu huu mkuuMimi sijaongea swala la malipo
Ila malipo hayo hayo ya confederation ndo mashabiki wa simba mlikua mnayaponda kwamba ni kiduchu
Hapo sawa umeeleweka siku nyingine usipende kufananisha shirikisho na club bingwaShirikisho.
Akiwa shabiki hana maoni binafsi?thibitisha kama mleta mada si shabiki wa SIMBA.
Sasa hivi una kiburi kidogo baada ya mechi na hilal.Hapo sawa umeeleweka siku nyingine usipende kufananisha shirikisho na club bingwa
wamechanganyikiwa sana..ile juzi nipo nao tunacheki mechi hawakuamini kilichotokea! Sisi tunacheza mpira wa kitabuni, speed..mtu hadi unajisikia raha kucheki mpira.Sijui ni kwanini Simba mmechanganyikiwa sana na issue za Yanga. Mmekosa utulivu kabisa
Tuombeane heri tufuzuSasa hivi una kiburi kidogo baada ya mechi na hilal.
Hakuna maendeleo bila ya kukinzana, na kwa sababu hii Yanga itafuzu kwa Mkapa:-Wale wanangu, ambao mnanikubali na kunifuatilia hapa JF nawapenda na kuwakubali sana, kama nyingi mnavyonipenda na kuja PM kunipongeza kwa tabiri zangu hapa JF ambazo kwa asilimia kubwa Huwa zinatiki, sio matokeo TU Bali kwenye angles mbalimbali za mpira na soka letu la hapa tz
Wanangu hii nyingine nawapa muishi nao, Yanga haiwezi toboa kwenda robo fainali sababu zinaweza kuwa ndogo ila za msingi sana ( zinahitaji akili kubwa kuzielewa )
1. Yanga kachukua points nne dhidi ya mazembe ambayo ipo dhoofu Sanaa
2. Kachukua points 3 kwa Al hilal, ila unahisi Jana Yanga alistahili kushinda??, zile chances za hatari ambazo Al hilal walitengeneza na kushinda kubadilisha kuwa mabao unahisi waarabu ( mc alger) haiwezi kuwa turning point Yao?
Tuishi humu wanangu naona kabisa Yanga hafuzu
Nb: haya ni mawazo na utabiri wangu, sio lazima ukubaliane nao, kama unabisha tuache muda uondee alafu ruksa kunikosoa ( sio ugomvi sawa??? )
Ngoja muda tuupe muda.Wale wanangu, ambao mnanikubali na kunifuatilia hapa JF nawapenda na kuwakubali sana, kama nyingi mnavyonipenda na kuja PM kunipongeza kwa tabiri zangu hapa JF ambazo kwa asilimia kubwa Huwa zinatiki, sio matokeo TU Bali kwenye angles mbalimbali za mpira na soka letu la hapa tz
Wanangu hii nyingine nawapa muishi nao, Yanga haiwezi toboa kwenda robo fainali sababu zinaweza kuwa ndogo ila za msingi sana ( zinahitaji akili kubwa kuzielewa )
1. Yanga kachukua points nne dhidi ya mazembe ambayo ipo dhoofu Sanaa
2. Kachukua points 3 kwa Al hilal, ila unahisi Jana Yanga alistahili kushinda??, zile chances za hatari ambazo Al hilal walitengeneza na kushinda kubadilisha kuwa mabao unahisi waarabu ( mc alger) haiwezi kuwa turning point Yao?
Tuishi humu wanangu naona kabisa Yanga hafuzu
Nb: haya ni mawazo na utabiri wangu, sio lazima ukubaliane nao, kama unabisha tuache muda uondee alafu ruksa kunikosoa ( sio ugomvi sawa??? )
,Wale wanangu, ambao mnanikubali na kunifuatilia hapa JF nawapenda na kuwakubali sana, kama nyingi mnavyonipenda na kuja PM kunipongeza kwa tabiri zangu hapa JF ambazo kwa asilimia kubwa Huwa zinatiki, sio matokeo TU Bali kwenye angles mbalimbali za mpira na soka letu la hapa tz
Wanangu hii nyingine nawapa muishi nao, Yanga haiwezi toboa kwenda robo fainali sababu zinaweza kuwa ndogo ila za msingi sana ( zinahitaji akili kubwa kuzielewa )
1. Yanga kachukua points nne dhidi ya mazembe ambayo ipo dhoofu Sanaa
2. Kachukua points 3 kwa Al hilal, ila unahisi Jana Yanga alistahili kushinda??, zile chances za hatari ambazo Al hilal walitengeneza na kushinda kubadilisha kuwa mabao unahisi waarabu ( mc alger) haiwezi kuwa turning point Yao?
Tuishi humu wanangu naona kabisa Yanga hafuzu
Nb: haya ni mawazo na utabiri wangu, sio lazima ukubaliane nao, kama unabisha tuache muda uondee alafu ruksa kunikosoa ( sio ugomvi sawa??? )
Hakuangalia mpira huyu..Kwani Yanga hakutengeneza nafasi kwenye mechi ya Al hilal. Shot on target Yanga aliongoza.
ivi ulitazama michezo yote ya kundi la yanga? Ukiwa ulitazama basi hautamsapoti huyu mleta mada,kwanza tu heading tu amekosea, pili sababu hazina mantiki na uhalisi wa mchezo kati ya HILAL VS YANGA. yaani ameokota okota vipointi ili tu aonekane tu kuwa anaisema vibaya yanga. Jambo ambalo limekaa kishabiki si maoni binafsi.Akiwa shabiki hana maoni binafsi?
Hapana mkuu, huwa una spana sana mkifuzu. Kamudomo kamudomo. Twende tu na utaratibu wa kupigana vitasa.Tuombeane heri tufuzu
Mkuu, bado ni maoni binafsi. Ila upo sawa kuna ushabiki unaonekana but ndo mpira ulivyo.ivi ulitazama michezo yote ya kundi la yanga? Ukiwa ulitazama basi hautamsapoti huyu mleta mada,kwanza tu heading tu amekosea, pili sababu hazina mantiki na uhalisi wa mchezo kati ya HILAL VS YANGA. yaani ameokota okota vipointi ili tu aonekane tu kuwa anaisema vibaya yanga. Jambo ambalo limekaa kishabiki si maoni binafsi.
Huyu babu yao alishawahi kuyatanabaisha.Bainisha Simba amefuzu mashindano Gani?
Mbona kama una aibu kuyataja?
Msingi wa hoja yangu hapa ni kuwa siioni yangu robo fainali, sababu nimezielezea hapo juu, niliweka tahadhari kabla ya kupost nikijua mashabiki lialia Kama ww ni ngumu kuelewa, nimetoa sababu kwa maelezo marahisi sana haya ikitimia sijui utaongea Nini kujiteteaUyo mazembe unayesema ni mbovu hao Mc alger walimfunga goli ngapi kwao? Wamemfunga kwa mbinde kwa goli la penalty ya mchongo toka kwa mwamuzi Tena wakiwa kwao Algeria vinginevyo wasingetoka kwa mazembe,,alafu unaposema Al hilal walitengeneza nafasi kwani yanga wao walitengeneza nafasi ngapi za hatari? Uliangalia Mpira ama ulisimuliwa? Mihemko ya kishabiki mda mwingine ni ya ovyo sana kaangalie takwimu sio porojo zako hizo