Yanga hatofuzu kwenda makundi, naiona draw kwa Mkapa

Yanga hatofuzu kwenda makundi, naiona draw kwa Mkapa

Sijui ni kwanini Simba mmechanganyikiwa sana na issue za Yanga. Mmekosa utulivu kabisa
wamechanganyikiwa sana..ile juzi nipo nao tunacheki mechi hawakuamini kilichotokea! Sisi tunacheza mpira wa kitabuni, speed..mtu hadi unajisikia raha kucheki mpira.

Sio ule wa simba debwe debwe mpira unakosa radha ya kuuangalia wanacheza mpira kama hawataki bhana.mpira slow..
 
Wale wanangu, ambao mnanikubali na kunifuatilia hapa JF nawapenda na kuwakubali sana, kama nyingi mnavyonipenda na kuja PM kunipongeza kwa tabiri zangu hapa JF ambazo kwa asilimia kubwa Huwa zinatiki, sio matokeo TU Bali kwenye angles mbalimbali za mpira na soka letu la hapa tz

Wanangu hii nyingine nawapa muishi nao, Yanga haiwezi toboa kwenda robo fainali sababu zinaweza kuwa ndogo ila za msingi sana ( zinahitaji akili kubwa kuzielewa )

1. Yanga kachukua points nne dhidi ya mazembe ambayo ipo dhoofu Sanaa

2. Kachukua points 3 kwa Al hilal, ila unahisi Jana Yanga alistahili kushinda??, zile chances za hatari ambazo Al hilal walitengeneza na kushinda kubadilisha kuwa mabao unahisi waarabu ( mc alger) haiwezi kuwa turning point Yao?

Tuishi humu wanangu naona kabisa Yanga hafuzu

Nb: haya ni mawazo na utabiri wangu, sio lazima ukubaliane nao, kama unabisha tuache muda uondee alafu ruksa kunikosoa ( sio ugomvi sawa??? )
Hakuna maendeleo bila ya kukinzana, na kwa sababu hii Yanga itafuzu kwa Mkapa:-
1-Nia tunayo
2-Sababu tunayo
3-Uwezo tunao wa kumnyoa mpinzani kwa Mkapa.
 
Wale wanangu, ambao mnanikubali na kunifuatilia hapa JF nawapenda na kuwakubali sana, kama nyingi mnavyonipenda na kuja PM kunipongeza kwa tabiri zangu hapa JF ambazo kwa asilimia kubwa Huwa zinatiki, sio matokeo TU Bali kwenye angles mbalimbali za mpira na soka letu la hapa tz

Wanangu hii nyingine nawapa muishi nao, Yanga haiwezi toboa kwenda robo fainali sababu zinaweza kuwa ndogo ila za msingi sana ( zinahitaji akili kubwa kuzielewa )

1. Yanga kachukua points nne dhidi ya mazembe ambayo ipo dhoofu Sanaa

2. Kachukua points 3 kwa Al hilal, ila unahisi Jana Yanga alistahili kushinda??, zile chances za hatari ambazo Al hilal walitengeneza na kushinda kubadilisha kuwa mabao unahisi waarabu ( mc alger) haiwezi kuwa turning point Yao?

Tuishi humu wanangu naona kabisa Yanga hafuzu

Nb: haya ni mawazo na utabiri wangu, sio lazima ukubaliane nao, kama unabisha tuache muda uondee alafu ruksa kunikosoa ( sio ugomvi sawa??? )
Ngoja muda tuupe muda.
 
Mechi ya lawama hiyo km wachezaji wa uto wataingia uwanjani kwa panik walah watapoteana pale na hapo ndio lawama zitaanzia
Mm sio mtabiri ila baka na job watakua miongoni mwa watakao lalamikiwa TRA
 
Wale wanangu, ambao mnanikubali na kunifuatilia hapa JF nawapenda na kuwakubali sana, kama nyingi mnavyonipenda na kuja PM kunipongeza kwa tabiri zangu hapa JF ambazo kwa asilimia kubwa Huwa zinatiki, sio matokeo TU Bali kwenye angles mbalimbali za mpira na soka letu la hapa tz

Wanangu hii nyingine nawapa muishi nao, Yanga haiwezi toboa kwenda robo fainali sababu zinaweza kuwa ndogo ila za msingi sana ( zinahitaji akili kubwa kuzielewa )

1. Yanga kachukua points nne dhidi ya mazembe ambayo ipo dhoofu Sanaa

2. Kachukua points 3 kwa Al hilal, ila unahisi Jana Yanga alistahili kushinda??, zile chances za hatari ambazo Al hilal walitengeneza na kushinda kubadilisha kuwa mabao unahisi waarabu ( mc alger) haiwezi kuwa turning point Yao?

Tuishi humu wanangu naona kabisa Yanga hafuzu

Nb: haya ni mawazo na utabiri wangu, sio lazima ukubaliane nao, kama unabisha tuache muda uondee alafu ruksa kunikosoa ( sio ugomvi sawa??? )
,
 
Kwani Yanga hakutengeneza nafasi kwenye mechi ya Al hilal. Shot on target Yanga aliongoza.
Hakuangalia mpira huyu..
Angeangalia match ya Al hilal na Yanga angegundua kitu.
Halafu angeangalia match ya Mc alger & Tp mazembe angegundua waarabu hamna kitu wanaweza figisu tu...
ile mechi ingekua Mazembe wangempata kiungo na mtu kama karumugisha waarabu wangekufa kwao!
Yani hata wakifuzu wale jamaa hawatoboi robo kabisa
Tena watatolewa kwa aibu kubwa!
 
Akiwa shabiki hana maoni binafsi?
ivi ulitazama michezo yote ya kundi la yanga? Ukiwa ulitazama basi hautamsapoti huyu mleta mada,kwanza tu heading tu amekosea, pili sababu hazina mantiki na uhalisi wa mchezo kati ya HILAL VS YANGA. yaani ameokota okota vipointi ili tu aonekane tu kuwa anaisema vibaya yanga. Jambo ambalo limekaa kishabiki si maoni binafsi.
 
ivi ulitazama michezo yote ya kundi la yanga? Ukiwa ulitazama basi hautamsapoti huyu mleta mada,kwanza tu heading tu amekosea, pili sababu hazina mantiki na uhalisi wa mchezo kati ya HILAL VS YANGA. yaani ameokota okota vipointi ili tu aonekane tu kuwa anaisema vibaya yanga. Jambo ambalo limekaa kishabiki si maoni binafsi.
Mkuu, bado ni maoni binafsi. Ila upo sawa kuna ushabiki unaonekana but ndo mpira ulivyo.
 
Uyo mazembe unayesema ni mbovu hao Mc alger walimfunga goli ngapi kwao? Wamemfunga kwa mbinde kwa goli la penalty ya mchongo toka kwa mwamuzi Tena wakiwa kwao Algeria vinginevyo wasingetoka kwa mazembe,,alafu unaposema Al hilal walitengeneza nafasi kwani yanga wao walitengeneza nafasi ngapi za hatari? Uliangalia Mpira ama ulisimuliwa? Mihemko ya kishabiki mda mwingine ni ya ovyo sana kaangalie takwimu sio porojo zako hizo
Msingi wa hoja yangu hapa ni kuwa siioni yangu robo fainali, sababu nimezielezea hapo juu, niliweka tahadhari kabla ya kupost nikijua mashabiki lialia Kama ww ni ngumu kuelewa, nimetoa sababu kwa maelezo marahisi sana haya ikitimia sijui utaongea Nini kujitetea
 
Back
Top Bottom