Yanga hatofuzu kwenda makundi, naiona draw kwa Mkapa

Yanga hatofuzu kwenda makundi, naiona draw kwa Mkapa

Mbumbumbu katika ubora wao 😂😂😂 hangaika na kombe lenu la shirikisho huko tinu zenyewe hata hazijulikani 😀 Yanga hata asipofuzu anavuna alama sawa na robo wa shirikisho😂
 
Msingi wa hoja yangu hapa ni kuwa siioni yangu robo fainali, sababu nimezielezea hapo juu, niliweka tahadhari kabla ya kupost nikijua mashabiki lialia Kama ww ni ngumu kuelewa, nimetoa sababu kwa maelezo marahisi sana haya ikitimia sijui utaongea Nini kujitetea
Sababu zako hazina mashiko ndio maana nimekuhoji,,unaposema Al hilal ilitengeneza hatari vipi hatari za yanga ukuziona? Unasema mc alger ni hatari kuliko yanga uhatari wake uko wapi kama tu Tp mazembe unayesema ni kibonde alimtoa kamasi nyumbani kwake mpaka mwamuzi akaingilia kati kutoa penalty ya mchongo,,nadhani hoja auna umesukumwa na mihemko tu!
 
Msingi wa hoja yangu hapa ni kuwa siioni yangu robo fainali, sababu nimezielezea hapo juu, niliweka tahadhari kabla ya kupost nikijua mashabiki lialia Kama ww ni ngumu kuelewa, nimetoa sababu kwa maelezo marahisi sana haya ikitimia sijui utaongea Nini kujitetea
Sababu zako hazina mashiko ndio maana nimekuhoji,,unaposema Al hilal ilitengeneza hatari vipi hatari za yanga ukuziona? Unasema mc alger ni hatari kuliko yanga uhatari wake uko wapi kama tu Tp mazembe unayesema ni kibonde alimtoa kamasi nyumbani kwake mpaka mwamuzi akaingilia kati kutoa penalty ya mchongo,,nadhani hoja auna umesukumwa na mihemko tu!
 
Sababu zako hazina mashiko ndio maana nimekuhoji,,unaposema Al hilal ilitengeneza hatari vipi hatari za yanga ukuziona? Unasema mc alger ni hatari kuliko yanga uhatari wake uko wapi kama tu Tp mazembe unayesema ni kibonde alimtoa kamasi nyumbani kwake mpaka mwamuzi akaingilia kati kutoa penalty ya mchongo,,nadhani hoja auna umesukumwa na mihemko tu!
Sawa TUACHE MUDA uongee
 
Tusubiri. Muda ukifika tutajua ukweli. Lakini itakuwa vema sana Yanga wakishinda.
 
Ila yanga wapambanaji sana.
Mm nilijua wangetolewa mapema sana lkn kwa kadri siku zinavyosanga wanaleta matumaini.
Wakitoboa hapa kwenda robo. Nusu fainali watafika
 

Attachments

  • IMG_20210715_163955_44.jpg
    IMG_20210715_163955_44.jpg
    571.4 KB · Views: 2
Msingi wa hoja yangu hapa ni kuwa siioni yangu robo fainali, sababu nimezielezea hapo juu, niliweka tahadhari kabla ya kupost nikijua mashabiki lialia Kama ww ni ngumu kuelewa, nimetoa sababu kwa maelezo marahisi sana haya ikitimia sijui utaongea Nini kujitetea
Jibu swali Yanga alitengeneza nafasi hakutengeneza na tuletee takwimu za mchezo huo hapa.
 
Mkuu hebu nitajie movies kali zenye story nzuri sio lazima mapigano nikaruke nazo chap
Nina series na muvi kalii hapa
Tracker
The oval
Mayor of Kingston
Your honor
The little drummer
You
Love and death
Sweetpea
Tulsa king
Outer banks
Silo
Fringe
Eric
The cleaning lady
American primeval




Muvi
  • Three Days of the Condor
  • The Bourne Ultimatum
  • The Good Shepherd
  • The 355
  • The Bourne Supremacy
  • Spy Game
  • The Sum of All Fears
  • Spies Like Us
  • The Recruit
  • Company Business
  • Möbius
  • Tenet
  • This Means War
  • Jack Ryan: Shadow Recruit
  • Argo
  • Hanna
  • Snowden
  • Jason Bourne
  • All the Old Knives
  • Safe House
  • All the Old Knives
  • Bad Company
  • Agent Cody Banks
  • The Double
  • The Courier
  • Fair Game
  • The Spy Next Door
  • Red
  • Zero Dark Thirty
  • The Bourne Identity
  • Confessions of a Dangerous Mind
  • Red Sparrow
  • Bridge of Spies
  • My Spy
  • Tinker Tailor Soldier Spy
  • Body of Lies
  • Salt
  • Charlie Wilson's War
  • American Made
  • The November Man
 
Wale wanangu, ambao mnanikubali na kunifuatilia hapa JF nawapenda na kuwakubali sana, kama nyingi mnavyonipenda na kuja PM kunipongeza kwa tabiri zangu hapa JF ambazo kwa asilimia kubwa Huwa zinatiki, sio matokeo TU Bali kwenye angles mbalimbali za mpira na soka letu la hapa tz

Wanangu hii nyingine nawapa muishi nao, Yanga haiwezi toboa kwenda robo fainali sababu zinaweza kuwa ndogo ila za msingi sana ( zinahitaji akili kubwa kuzielewa )

1. Yanga kachukua points nne dhidi ya mazembe ambayo ipo dhoofu Sanaa

2. Kachukua points 3 kwa Al hilal, ila unahisi Jana Yanga alistahili kushinda??, zile chances za hatari ambazo Al hilal walitengeneza na kushinda kubadilisha kuwa mabao unahisi waarabu ( mc alger) haiwezi kuwa turning point Yao?

Tuishi humu wanangu naona kabisa Yanga hafuzu

Nb: haya ni mawazo na utabiri wangu, sio lazima ukubaliane nao, kama unabisha tuache muda uondee alafu ruksa kunikosoa ( sio ugomvi sawa??? )
Makolo a.k.a mwakarobo, mnahaha sana kutafuta kuhalalisha kuwa Yanga haina uwezo wa kuingia robo fainali..!! Na haya mnayaropoka huku mkiwa mmepigwa mara nne mfululizo na Yanga. Sasa sijui na nyie dhohofu wakati mnapigwa mara nne mfululizo au la..!!

1. Yanga ikifungwa;
Hawajui soka
timu haichezi kitimu
Kila mchezaji anajichezea ajuwavyo
Yanga ni mbovu jamani

2. Yanga ikishinda
Bahasha
tiGo pesa
Marefa wamehongwa
GSM anadhamini timu nyingi
wale ni tawi la Yanga
Hawa si wale wa zamani
Ibenge bahasha
Kudra za mwenyezi Mungu
etc..

Ulichokiandika ni muendelezo wa umbumbumbu, ungada, udunduka na umakolo wenu wa kila Yanga inaposhinda.
 
Makolo a.k.a mwakarobo, mnahaha sana kutafuta kuhalalisha kuwa Yanga haina uwezo wa kuingia robo fainali..!! Na haya mnayaropoka huku mkiwa mmepigwa mara nne mfululizo na Yanga. Sasa sijui na nyie dhohofu wakati mnapigwa mara nne mfululizo au la..!!

1. Yanga ikifungwa;
Hawajui soka
timu haichezi kitimu
Kila mchezaji anajichezea ajuwavyo
Yanga ni mbovu jamani

2. Yanga ikishinda
Bahasha
tiGo pesa
Marefa wamehongwa
GSM anadhamini timu nyingi
wale ni tawi la Yanga
Hawa si wale wa zamani
Ibenge bahasha
Kudra za mwenyezi Mungu
etc..

Ulichokiandika ni muendelezo wa umbumbumbu, ungada, udunduka na umakolo wenu wa kila Yanga inaposhinda.
Hii comment umeisevu sehemu sio ,una copy tu na kupest.

Ila mwisho wa kuitumia unakaribia
 
Back
Top Bottom