Yanga hatulalamiki, wala hatutumi wazee waitishe press

sometimes uwe unajishikilia
 
Ikiwa umefungwa kihalali kabisa utakuwa unalalamikia nini hapo? Kwani kwa kawaida malalamiko huwa kwa ajili ya maamuzi ya kuonewa na mwamuzi.

Ova
 
Hamlalamiki wakati kina mwalimu wanadai waziri naibu waziri na katibu mkuu ni Simba na wamepanga matokeo ya Azam..Au wewe unawakilisha yanga wote! Ujinga ni kuwasemea hata usiowafahamu..sema wewe hulalamiki
Upuuzi huo, hao ni wendawazimu tu. Matokeo gani yamepangwa pale? Tumefungwa golli halali kabisa, hao wanaosema tumehujumiwa wasipojirekebisha itabidi wawekwe mbali na timu, hawana afya kwa timu wala mchezo wa soka.
Unakuuuta mtu anaibuka kuanza kulalamikia tukio ambalo yeye mwenyewe kugundua kwa ni rafu imebidi hadi marejeo ya video tena zaidi ya mara moja kutoka angle tofauti.
Makosa ni sehemu ya mchezo wa mpira na pia hunogesha mpira.
Kwa kufungwa kwetu Yanga sioni hujuma wala makosa ya Mwamuzi, kama ni makosa basi yanakuwa kwa timu, kwanini haikushinda wakati ilikuwa na nafasi ya kufanya hivyo.
Washukuru kupitia kufungwa na Azam Yanga ndiyo inaenda kuamka
 
Mtalalamikia nini wakati mnapata both fair and unfair privileges kupitia waamuzi baada ya bahasha kutoka upande ule.

Ni mjinga pekee atakayelalamikia maamuzi ya refa kuiminya Yanga wakati kwenye ligi hii hakuna timu inayonufaika na makosa ya kibinadamu kuizidi Yanga.
 
Mmeliwa.

Mmepigwa kidude.

Mmelambishwa lolo.

Mmechumishwa mchicha.

Mmepakatwa.

Mmekanyagwa.

Mmebanduliwa.
 
Sasa,hayo uliyoyaandika siyo malalamiko?Chura bin utopolo kabisa!
 
sikuachi kama nanyi ambavyo hamtaki kutuacha nyinyi ni ma my wetu tu....🀣
Pambeneni na vi dume vyenu vya afu 2000....vi lambalamba huku kwetu mtatolewa nishai...
 
kidume ni sie tulie wa tufua kizazi mara 4 mfululizo!
Kumbe na huwa mnakula vya jinsia moja? Basi endeleeni kulana..maana na simba wameshawala sanaπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ€—πŸ€—πŸ€—au siku hizi na nyie mna vizazi...🀐
 
Kumbe na huwa mnakula vya jinsia moja? Basi endeleeni kulana..maana na simba wameshawala sanaπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ€—πŸ€—πŸ€—au siku hizi na nyie mna vizazi...🀐
utajiju
 
Kumbe na huwa mnakula vya jinsia moja? Basi endeleeni kulana..maana na simba wameshawala sanaπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ€—πŸ€—πŸ€—au siku hizi na nyie mna vizazi...🀐
Hama timu
Kwani Simba ni kabila au ukoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…