Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Unatukana mamba kabla ya kuvuka mtoBaada ya kuangalia mchezo wa leo baina ya Simba na Yanga, ni dhahiri yanga hawana timu ya kufanya maajabu ligi ya mabingwa msimu ujao.
Timu imejengwa kumzunguka mtu mmoja tu kiasi kwamba akishadhibitiwa basi tu inatepeta.
Simba ndio kipimo cha watakachokutana nacho ligi ya mabingwa. Kama Yanga wako serious wanatakiwa kusajili hasa wachezaji wenye uwezo wa kuamua michezo migumu. Sio hawa kina sure boy..
View attachment 2206582
Twende kwa fact:baada ya ile mechi ya ngao ya jamii mkajipa moyo clabu bingwa mtatesa ilikuwaje hapo uto wasahaulifu sana
[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2206645
Mie nimetumia mechi ya leo kama kipimo... Hiyo ya Galaxy umetoa wapi? Na je Simba walitolewa kwa kupigwa nje ndani kwa aibu? Hao uliowataja wote leo wamecheza. Je unaona wakienda kufanya la maana Klabu bingwa?Twende kwa fact:
1) kuna wachezaji hawakucheza Mayele, Djuma na Aucho
2) kikosi hakikupata muda wa kutosha kuandaliwa kwaajili ya klabu bingwa kwenye pre season na wakacheza mechi moja tu ya kirafiki.
Lakini Simbo ambao walitumia zaidi ya mwezi kwenye maandalizi ya klabu bingwa kwa kuweka kambi Morocco na Arusha huku wakicheza michezo kibao ya kimataifa ya kirafiki lakini wametolewa na Galaxy na kutupwa nje kwenye klabu bingwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mayele ni Nkane wa kikongo.Wana hasira hao Mayele bado anadaiwa deni..wamebaki na point yao ya gape la point.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] mayele ni nkane wa kikongo.Uyo Mayele unaembeza ndo top scorer wa ligi mpaka sasa. Chagua wachezaji wa timu yenu wawili wakali na top scorers katika timu yenu kisha jumlisha magoli yao, hakuna atakayemfikia Mayele kamwee
Kwa maneno mengine unamaanisha Simba iliyocheza leo ni Mbovu? Kama ni Mbovu basi yanga kwenye clabu bingwa watakuwa na hali mbaya sana. Wajo nyumbani wamesuluhu na timu mbovu.Mlianza na kusema round ya pili mnaamka, haya round ya pili ndio hiyo ina yoyoma, mara hoo mkasema mechi nne yanga atapoteza ikiwemo ya Azam zote Yanga kashinda zote mara hoo mkasema mtapiga ya Yanga kwa mkapa mechi droo. Leo naona mmehamisha magoli kwenye CAF champions, kwani nyie kwa usajili alio ufanya Yanga msimu mliopita mmlishawahi kufikiria msimu huu Yanga itakuwa hivi, tena na muunganiko mkubwa wachezaji wamelewana ndani ya mda mfupi na kuipa matokeo Yanga.
Pambaneni na timu yenu na viongozi wenu ambao wamechemka kwenye kusajili (sijui wamekula 10%),Mwenyekiti wenu anahojiwa na EFM anadai "Simba ya msimu huu ni bora zaidi ya msimu uliopita ".Msimu huu mmekosa ubingwa, mmedrop kutoka Klabu bingwa mpaka shirikisho. Mkae mjipange wachezaji kibao (zaidi ya 10) mikataba yao ishaisha mmoja wapo Manula kwa saves alizozifanya lazima atataka fungu kubwa,mambo ya kiwaga magumu mnakumbushiaga bil 20.
Mnakazi ya kuoffload timu yenu, kufanya usajili mpya (hapo ndipo viongozi wenu wanapompigaga MO) na baada hapo mtengeneze muunganiko kwenye timu.
Yanga ndio tushachukua ngao, sasa hivi ligi bado Azam Confederation dadadedekiiiiiii......
Yanga ipi ya kufika ¼ final? Ni CAF au FA? hebu fafanua kwan? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa mtiririko wako wa hoja iko hivi, Yanga hawezi kufurukuta Club bingwa kwa sababu kashindwa kumfunga Simba. Simba ambaye naye kashindwa kumfunga Yanga alifika robo fainali.
Kwa mantiki hiyo, Simba na Yanga viwango vyao kwa sasa ni vya kuishia robo fainali.
Mbna km unateseka hivi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mlianza na kusema round ya pili mnaamka, haya round ya pili ndio hiyo ina yoyoma, mara hoo mkasema mechi nne yanga atapoteza ikiwemo ya Azam zote Yanga kashinda zote mara hoo mkasema mtapiga ya Yanga kwa mkapa mechi droo. Leo naona mmehamisha magoli kwenye CAF champions, kwani nyie kwa usajili alio ufanya Yanga msimu mliopita mmlishawahi kufikiria msimu huu Yanga itakuwa hivi, tena na muunganiko mkubwa wachezaji wamelewana ndani ya mda mfupi na kuipa matokeo Yanga.
Pambaneni na timu yenu na viongozi wenu ambao wamechemka kwenye kusajili (sijui wamekula 10%),Mwenyekiti wenu anahojiwa na EFM anadai "Simba ya msimu huu ni bora zaidi ya msimu uliopita ".Msimu huu mmekosa ubingwa, mmedrop kutoka Klabu bingwa mpaka shirikisho. Mkae mjipange wachezaji kibao (zaidi ya 10) mikataba yao ishaisha mmoja wapo Manula kwa saves alizozifanya lazima atataka fungu kubwa,mambo ya kiwaga magumu mnakumbushiaga bil 20.
Mnakazi ya kuoffload timu yenu, kufanya usajili mpya (hapo ndipo viongozi wenu wanapompigaga MO) na baada hapo mtengeneze muunganiko kwenye timu.
Yanga ndio tushachukua ngao, sasa hivi ligi bado Azam Confederation dadadedekiiiiiii......
FA enyewe refa kawabeba kweupe mbele ya Geita Gold, afu ndo CAFCL wafike ¼ final? makundi wanaweza kuvuka? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanadhani CAFCL ni kama mapinduzi watakutana na KMKM
Na mugalu ni bocco wa kikongo pia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] mayele ni nkane wa kikongo.
Uwiiiiiih.
Mara ya mwishi yanga kuishia robo fainali ni mwaka gani?Kwa mtiririko wako wa hoja iko hivi, Yanga hawezi kufurukuta Club bingwa kwa sababu kashindwa kumfunga Simba. Simba ambaye naye kashindwa kumfunga Yanga alifika robo fainali.
Kwa mantiki hiyo, Simba na Yanga viwango vyao kwa sasa ni vya kuishia robo fainali.
Kwani nyie msimu uliopita si mlisema sisi wabovu.Kwa maneno mengine unamaanisha Simba iliyocheza leo ni Mbovu? Kama ni Mbovu basi yanga kwenye clabu bingwa watakuwa na hali mbaya sana. Wajo nyumbani wamesuluhu na timu mbovu.
Unaweza kuwa wa kwanza kufika robo fainali na kombe husichukue akachukua mwengine au akaishia stage ya juu zaidi yako. Arsenal kwenye UEFA alifika mpaka fainali kabla ya Chelsea, kaja Chelsea kachukua UEFA mbili,endelea kukalili.Mara ya mwishi yanga kuishia robo fainali ni mwaka gani?
Mzee umeandika maelezo mareeeeefu lakini hujajibu kama simba ni mbovu ndio tuendelee na mjadala. Acha porojoKwani nyie msimu uliopita si mlisema sisi wabovu.
Tulivyo sajili mkatuambia mnakazi ya kujenga timu.
Nao leo vipi,mlijua tutafika hapa na ndio maana msimu huu wakati tukiongoza ligi round ya kwanza, masema "Yanga hata msimu uliopita aliongoza round ya kwanza, Simba akachukua ",je hizi kauli mnazani mlikuwa mnaziongea kwa sababu gani? Sababu ni moja akili zenu mlizani yanga ni mbovu, hiki kinachotokea msimu huu hamkujua kama kitatokea.
So hayo ya msimu ujayo tuyaache kwani mnaweza kubadilisha kauli kama mlivyo badilisha msimu huu.
Kwangu naiamini Yanga hata hiyo michuano ya CAF msimu huu, nimecheza bila wachezaji wangu watatu Bangala, Mayele,Aucho plus Moloko.
Kweli mmedrop msimu huu au wewe unaiona timu yako ipo sawa..........? Manake mtu chake.Mzee umeandika maelezo mareeeeefu lakini hujajibu kama simba ni mbovu ndio tuendelee na mjadala. Acha porojo