Wewe ndiyo mpumbavu, mpira hauwezi kulinganishwa kipumbavu!Basi kama mpira unalinganishwa kipumbavu hivyo, basi tuendelee kulinganisha kipumbavu hivyo hivyo kwamba kwavile Yanga imejipima na timu iliyo na uzoefu na klabu bingwa na waliozoea kufika robo fainali mara kwa mara na kutoka nao suluhu mechi ya pili sasa hivyo ni wazi watafika robo fainali kwenye michuano ya kimataifa msimu ujao.
ikafika wapi baada ya kwenda nje mashindano ya klabu bingwa afrika bwana uto?Ilienda nje ya mashindano ya klabu bingwa.
Sasa mnatumia kigezo kipi kusema mechi ya jana ni kipimo cha Yanga kuwa hatofanya vizuri kwenye klabu bingwa? Mpumbavu ni mimi au ni nyie?Wewe ndiyo mpumbavu, mpira hauwezi kulinganishwa kipumbavu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani lazima upovukwe? Hujataja kombe gan sasa.Naweza ukakuta unaye zungumza nae hata mpira hajui unachezajwe na ndio maana nilikuambia ulikuwa bado upo kwenye zipu.
Yanga vs Asec Mimosa vingine kagoogle.
Akadondokea kwenye kombe la shirikisho, kama raundi moja tu chaali bila shaka angeaanza preliminary round angeishia hapo hapo. Galaxy pamoja na kuwa wa mwisho kwenye kundi lake ela aliyoingiza Simba haiwezi kuifikia hata wangecheza nusu fainali. Galaxy wameingiza usd 550,000ikafika wapi baada ya kwenda nje mashindano ya klabu bingwa afrika bwana uto?
Nani atokwe povu kwa mtu kama ww husiyejua mpira na kushangaa ww mpira umeujulia ukubwani na kugoogle hutaki.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani lazima upovukwe? Hujataja kombe gan sasa.
Wee ndo unieleze, sasa google ya nn?
Kufika robo finally mara 3 na point 25 za kimataifa. Yanga wao wana point 0.5, namongo point 2.5 tunangoja wapande ndege ya kwenda na kuwarudisha nikimaanisha ndege ikiwapeleka ujue watapigwa na ikiwarudisha watapigwa hapahapa. Ndio mwisho wao.Kama mechi ya leo ni kipimo, vipi Simba imepata jibu gani kwa kutoa sare na Yanga?
Swali na jibu haviendani.Kufika robo finally mara 3 na point 25 za kimataifa. Yanga wao wana point 0.5, namongo point 2.5 tunangoja wapande ndege ya kwenda na kuwarudisha nikimaanisha ndege ikiwapeleka ujue watapigwa na ikiwarudisha watapigwa hapahapa. Ndio mwisho wao.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hao wachezaji hawakucheza pia dhidi ya mechi yenu kubwa kabisa ya kimataifa dhidi ya SOMALIA?Twende kwa fact:
1) kuna wachezaji hawakucheza Mayele, Djuma na Aucho
2) kikosi hakikupata muda wa kutosha kuandaliwa kwaajili ya klabu bingwa kwenye pre season na wakacheza mechi moja tu ya kirafiki.
Lakini Simbo ambao walitumia zaidi ya mwezi kwenye maandalizi ya klabu bingwa kwa kuweka kambi Morocco na Arusha huku wakicheza michezo kibao ya kimataifa ya kirafiki lakini wametolewa na Galaxy na kutupwa nje kwenye klabu bingwa
ina maana kwenye hii mechi Simba walikuwa hawahitaji ushindi... Maana hata Simba hawakufunga goliYanga waachane na hii formation ya 4-2-3-1 kwani viungo wao hawana uwezo wa ku-press ili kutengeneza nafasi nyingi kwa mshambuliaji wao kuweza kufunga labda wacheze 4-3-3 ambayo angalau ni mfumo unaoweza kuwafanya washambulie zaidi.
Badala yake mshambuliaji mara nyingi anabaki kisiwani huku hakiwa hawezi kupata mipira. Yanga wanatakiwa wapate utility mid-fielders wenye uwezo wa kumiliki mpira na kutengeneza nafasi nyingi za kufunga jambo ambalo ilikosekana kwenye mechi yao na Simba.
Pia naona kama kocha pia bado hayuko vizuri kimbinu, huwezi kuweka timu ijihami wakati hata goli bado hujafunga huku pia hauna mpango wa kufanya devastating counter attacks na badala yake unajihami kwa shabaha ya kutafuta sare, huu mkakati ni wa hovyo sana.
Kama Yanga wasipofanyia kazi hilo basi hawawezi kufika mbali kwenye mashindano ya klabu bingwa Afrika.
Chukueni hizo points za CAF muweke kwenye ligi zitawa boostKufika robo finally mara 3 na point 25 za kimataifa. Yanga wao wana point 0.5, namongo point 2.5 tunangoja wapande ndege ya kwenda na kuwarudisha nikimaanisha ndege ikiwapeleka ujue watapigwa na ikiwarudisha watapigwa hapahapa. Ndio mwisho wao.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo ulie? Hebu relaaaax.Nani atokwe povu kwa mtu kama ww husiyejua mpira na kushangaa ww mpira umeujulia ukubwani na kugoogle hutaki.
Hee yaani kumbe uliquote tu bila ya kujua niliye mqoute mimi alikuwa anaongelea kombe gani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo ulie? Hebu relaaaax.
Nambie ilikua ni kombe gan, khaaaah
Kufika robo finally mara 3 na point 25 za kimataifa. Yanga wao wana point 0.5, namongo point 2.5 tunangoja wapande ndege ya kwenda na kuwarudisha nikimaanisha ndege ikiwapeleka ujue watapigwa na ikiwarudisha watapigwa hapahapa. Ndio mwisho wao.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hapa ni mwendo wa kujifariji. Mashabiki wa Simba wamekosa ubingwa Bara, ila wanajifariji kwa kujivunia hatua ambayo wametoka kuifikia na points zinazowapa heshima CAF, huku mashabiki wa Yanga iliyotolewa raundi ya awali CAF CL wakipooza machungu kwa kujivunia ubingwa wa BaraChukueni hizo points za CAF muweke kwenye ligi zitawa boost
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan ukitaja shida nn? Google hainiambii sasa.Hee yaani kumbe uliquote tu bila ya kujua niliye mqoute mimi alikuwa anaongelea kombe gani.
Sasa ulikuwa unabisha kitu gani au uliamua kubisha tu ili mradi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan ukitaja shida nn? Google hainiambii sasa.
Sasa km Google hainiambii ni kombe lipi, ndo nakuuliza wee taja bas, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa ulikuwa unabisha kitu gani au uliamua kubisha tu ili mradi.
NakaziaWataishia mtoano
Watoto wa Ismail Aden hao, wasamehe bure.[emoji3] Mayele, juma,Bangala,Aucho na moloko uliwaona uwanjan?