Yanga hawatafurukuta CAFCL.

Wewe ndiyo mpumbavu, mpira hauwezi kulinganishwa kipumbavu!
 
Wewe ndiyo mpumbavu, mpira hauwezi kulinganishwa kipumbavu!
Sasa mnatumia kigezo kipi kusema mechi ya jana ni kipimo cha Yanga kuwa hatofanya vizuri kwenye klabu bingwa? Mpumbavu ni mimi au ni nyie?
 
Naweza ukakuta unaye zungumza nae hata mpira hajui unachezajwe na ndio maana nilikuambia ulikuwa bado upo kwenye zipu.

Yanga vs Asec Mimosa vingine kagoogle.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani lazima upovukwe? Hujataja kombe gan sasa.
Wee ndo unieleze, sasa google ya nn?
 
ikafika wapi baada ya kwenda nje mashindano ya klabu bingwa afrika bwana uto?
Akadondokea kwenye kombe la shirikisho, kama raundi moja tu chaali bila shaka angeaanza preliminary round angeishia hapo hapo. Galaxy pamoja na kuwa wa mwisho kwenye kundi lake ela aliyoingiza Simba haiwezi kuifikia hata wangecheza nusu fainali. Galaxy wameingiza usd 550,000
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani lazima upovukwe? Hujataja kombe gan sasa.
Wee ndo unieleze, sasa google ya nn?
Nani atokwe povu kwa mtu kama ww husiyejua mpira na kushangaa ww mpira umeujulia ukubwani na kugoogle hutaki.
 
Kama mechi ya leo ni kipimo, vipi Simba imepata jibu gani kwa kutoa sare na Yanga?
Kufika robo finally mara 3 na point 25 za kimataifa. Yanga wao wana point 0.5, namongo point 2.5 tunangoja wapande ndege ya kwenda na kuwarudisha nikimaanisha ndege ikiwapeleka ujue watapigwa na ikiwarudisha watapigwa hapahapa. Ndio mwisho wao.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Swali na jibu haviendani.
 
Hao wachezaji hawakucheza pia dhidi ya mechi yenu kubwa kabisa ya kimataifa dhidi ya SOMALIA?

Mlivuna nini?
 
ina maana kwenye hii mechi Simba walikuwa hawahitaji ushindi... Maana hata Simba hawakufunga goli
 
Chukueni hizo points za CAF muweke kwenye ligi zitawa boost
 
Nani atokwe povu kwa mtu kama ww husiyejua mpira na kushangaa ww mpira umeujulia ukubwani na kugoogle hutaki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo ulie? Hebu relaaaax.
Nambie ilikua ni kombe gan, khaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo ulie? Hebu relaaaax.
Nambie ilikua ni kombe gan, khaaaah
Hee yaani kumbe uliquote tu bila ya kujua niliye mqoute mimi alikuwa anaongelea kombe gani.
 

Chukueni hizo points za CAF muweke kwenye ligi zitawa boost
Hapa ni mwendo wa kujifariji. Mashabiki wa Simba wamekosa ubingwa Bara, ila wanajifariji kwa kujivunia hatua ambayo wametoka kuifikia na points zinazowapa heshima CAF, huku mashabiki wa Yanga iliyotolewa raundi ya awali CAF CL wakipooza machungu kwa kujivunia ubingwa wa Bara
 
Hee yaani kumbe uliquote tu bila ya kujua niliye mqoute mimi alikuwa anaongelea kombe gani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan ukitaja shida nn? Google hainiambii sasa.
 
Sasa ulikuwa unabisha kitu gani au uliamua kubisha tu ili mradi.
Sasa km Google hainiambii ni kombe lipi, ndo nakuuliza wee taja bas, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…