Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,017
- 2,580
Sijasahau ndiyo maana nimeweka "uwezekano"Unajisahaulisha simba walishakuwa unbeaten ila wakafungwa mechi ya mwisho kabisa? It's not over until its over.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijasahau ndiyo maana nimeweka "uwezekano"Unajisahaulisha simba walishakuwa unbeaten ila wakafungwa mechi ya mwisho kabisa? It's not over until its over.
NitafutieKwani hiyo rekodi ya unbeaten Simba hawana ?
kwani we timu gani? Utopolo au galaxy au Rivers United nijue kwanza kabla ya kubishana na weweAkadondokea kwenye kombe la shirikisho, kama raundi moja tu chaali bila shaka angeaanza preliminary round angeishia hapo hapo. Galaxy pamoja na kuwa wa mwisho kwenye kundi lake ela aliyoingiza Simba haiwezi kuifikia hata wangecheza nusu fainali. Galaxy wameingiza usd 550,000
Rossonelikwani we timu gani? Utopolo au galaxy au Rivers United nijue kwanza kabla ya kubishana na wewe
Tuliiona Yanga tu uwanjani?[emoji3] Mayele, juma,Bangala,Aucho na moloko uliwaona uwanjan?