Kwani ushabiki hadi uwe na kadiWeka kadi yako ya uanachama hapa ili wasiseme umetumwa na wekundu wa msimbazi
Kwa hiyo mzee wangu nawe upo na tapel moamed au?Watakuita pandikizi sasa hivi
Hapana niko pekeyangu Kilingeni MsataKwa hiyo mzee wangu nawe upo na tapel moamed au?
Hao walionao wanashindwa kuwalipa wanawapiga kwenye ulevi na utovu kama utovuMimi ni mpenzi wa Yanga lakini msema ukweli ni mpenzi wa Mungu. Mchezo waliouonyesha Yanga dhidi ya Mwadui imeonyesha kwa kweli Yanga bado sana. Naishauri Klabu ya Yanga isajili wachezaji wenye viwango kama Simba. Yanga sasa wamepangwa kukutana na Biashara united ya Mara kwenye Kombe la FA. Kwa mchezo niliouona leo wa Yanga ni dhahiri watafungwa tu. Kiwango walichoonyesha ni kiwango cha chini mno. Tafuteni wachezaji wenye viwango vinginevyo tutakuwa tunaishia mzunguko wa kwa kwanza kwenye mechi za Kimataifa. Waulizeni Simba mbinu wanazotumia.
Tutawakeketa mchana kweupeeeeeeKidimbwi kwa kiwango kile july 3 mhhh sijui.
PovuTulio wewe dogo.. Kwani umesikia dirisha la usajiri limefunguliwa..?
Kama hao wachezaji wabovu ndo wapo siku zote toka ligi imeanza sasa sijui umewaona Leo hii...?
Suala la kusajiri wachezaji wazuri hata si lakuwauliza Simba.. Kikubwa ni pesa tu wachezaji wote wazuri duniani hii wanafahamika.