four eyes
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 905
- 1,408
Dah! Kila ninapo itazama timu yangu ikicheza nakosa raha kabisa, sioni timu iliyosifika kwa lile soka tamu ya kampa kampa tena. Timu ipoipo tu sasa hivi na inacheza mradi inacheza
Najua viongozi wanaliona hili lakini wanashindwa kumtimua Lwandamina sababu timu haina pesa Sasa hivi na kuvunja nae mkataba ni gharama kubwa sababu itabidi wamlipe kwahiyo wameamua kubaki wakitizama tu.
Kilichobaki ni kusubiri tu mpaka timu ishuke daraja sasa maana ndiko tunakoelekea, wachezaji hata morali hawana tena japo wapo wachache wanaojitahidi kujituma lakini Mipango hamna kabisa.
Ukihoji unaambiwa story za kwamba sijui timu ilikuwa ikiwategemea kina Msuva kushambulia tokea pembeni. Sasa hivi hawapo kocha bado anatafuta mfumo, atautafuta mpaka mwisho wa ligi kwa staili hii.
Najua viongozi wanaliona hili lakini wanashindwa kumtimua Lwandamina sababu timu haina pesa Sasa hivi na kuvunja nae mkataba ni gharama kubwa sababu itabidi wamlipe kwahiyo wameamua kubaki wakitizama tu.
Kilichobaki ni kusubiri tu mpaka timu ishuke daraja sasa maana ndiko tunakoelekea, wachezaji hata morali hawana tena japo wapo wachache wanaojitahidi kujituma lakini Mipango hamna kabisa.
Ukihoji unaambiwa story za kwamba sijui timu ilikuwa ikiwategemea kina Msuva kushambulia tokea pembeni. Sasa hivi hawapo kocha bado anatafuta mfumo, atautafuta mpaka mwisho wa ligi kwa staili hii.