Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Kishoka tu huyo. Alishindwa kuendana na kasi ya Azam wakamtoa kupunguza aibu.Mkata umeme kasababisha shoti!!!
Vp mkuu hiyo second half mambo yaliendajeeAcha mbwembwe subiri second half
Mkifungwa Bonanza mkishinda mdomo mrefuuuu.Bonanza
Anajua basi.Vp mkuu hiyo second half mambo yaliendajee
Hii inaitwa 4GWakipigwa mkono itakua poa sana
F.U.C.K[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]What's the **** Yanga
Yanga timu bora East Africa waulize CAF.. Msuva amekuambia tulishaingia nusu fainali... Kwetu mechi ya kumalizia ratibaMkifungwa Bonanza mkishinda mdomo mrefuuuu.
Mbona mmekimbia juice[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yanga timu bora East Africa waulize CAF.. Msuva amekuambia tulishaingia nusu fainali... Kwetu mechi ya kumalizia ratiba
Na hivi Yanga wamekaa kiCCM CMM huyo jamaa hachelewi kufuta matokeo*Breaking news matokeo ya Azam yamefutwa* by *Jecha* hadi mtakapotangaziwa marudio ya mechi asanteni
Simbaaa Vs YANGAA ANAAGAAAAKocha atatimuliwa