Yanga hoi kwa Azam, yasambaratishwa magoli manne bila majibu

Yanga hoi kwa Azam, yasambaratishwa magoli manne bila majibu

15966177_588551578017006_6450502796545054898_n.jpg
 
Wameingia nyavuni sasa bila shaka watakutana na mnyama nusu fainal. ......labda niwakumbushe tu znz hakuna marten sanyaa
 
Nimeitazama match mwanzo mwisho. Nilikuwa sielewi sababu hasa ya wakenya kujitoa kwenye mashindano haya. Lakini kwa kitendo kilichofanywa jana, nakubaliana nao. Halafu pia mashindano ya mapinduzi cup yameshuka hadhi kabisa. Hayana umuhimu tena. Kama waganda wataendelea kushiriki mashindano haya, basi ni sababu ya njaa. Timu za Zbar zimepigana kutafuta kuingia nusu fainali halafu wengine wanapanga kuzitoa! Kweli kabisa timu zote za Zbar zinastahili kujitoa kwenye mashindano haya wawaachie timu pendwa. Aibu kubwa sana


Wacha Kulialia wewe Hakuna Aliyepanga Matokeo bali Mumetandikwa kimpira!!
Halafu Kudai eti Timu Za Kenya Zimejitoa Huo ni Uongo! Kombe la Mapinduzi Wadau ni Timu Za Tanzania tu...
Timu Zote Za Nje Ya Tanzania sio Wadau ni Washiriki Waalikwa Tu....

Sasa Mgeni Mwalikwa Hajitoi bali Huhesabiwa Kakataa Mwaliko tu...
Mdau Ndiye Anaejitoa...
 
Kulamba koni 4 kumewachokesha jamaa ile mbaya. Wengine uchovu umewazidi wengine wanaharisha. Ni masugu tu ndio wanaojaribu kujitutumua. Tena kulishwa koni 4 na timu ambayo haina kocha wa uhakika bali wa muda. Ustaarabu utarudi tu. Chezea 4 G.
 
Yanga wanafuatilia kwa nini hakuna timu hata moja kutoka Kenya ili wakate rufaa. Bado tunashauriana na mwanasheria wetu!!
 
Wameshakata rufaa.Wachezaji wa Azam kutoka Ghana hawana vibali vya kufanyia kazi Zanzibar. Pia Agyei aliyefunga goli la 4 amesajiliwa pia na Simba kama kipa. Mchezaji mmoja hawezi kuchezea timu mbili. Wanangojea ushindi wa mezani.
 
Back
Top Bottom