Yanga ikae mguu sawa, GSM kujitoa Yanga

Yanga ikae mguu sawa, GSM kujitoa Yanga

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Nawapa hii kutoka chini ya kapeti. Huu ni mwanzo tu. Kuweni makini muwe na Plan B baada ya mdhamini wenu kunitoa mtaishije.

Baada ya GSM kujitoa kudhamini ligi na kisha kujitoa uenyekiti wa Kamati ya Hamasa, kinachofuata sasa ni kunitoa rasmi kudhamini Yanga na kibaki na mkataba wa msingi wa uuzaji wa jezi tu.
 
[emoji28][emoji28]
IMG-20220207-WA0118.jpg
 
Back
Top Bottom