Yanga ikae mguu sawa, GSM kujitoa Yanga

Yanga ikae mguu sawa, GSM kujitoa Yanga

Kujiondoa kwa GSM
  • Ni wazi mlengwa mkuu alikuwa ni Simba na sio vilabu vingine.
  • GSM ilianza kuji-atach kwa Haji Manara tangu alivyokuwa msemaji wa Simba.
  • Simba ilivyochomoa Betri ndio sababu nao wameona malengo yao hayajatimia, wanaamua kujitoa.
  • Ukweli ni kwamba Yanga pekee haijainufaisha GSM, hadi kupelekea hizo jezi za Yanga wazigawe bure tu viwanjani, kila siku Yanga inapocheza.

Kosa kubwa walilolifanya TFF ni kuingia mkataba na GSM na kusema huo mkataba ni wao, vilabu hauwahusu.
 
Kujiondoa kwa GSM
  • Ni wazi mlengwa mkuu alikuwa ni Simba na sio vilabu vingine.
  • GSM ilianza kuji-atach kwa Haji Manara tangu alivyokuwa msemaji wa Simba.
  • Simba ilivyochomoa Betri ndio sababu nao wameona malengo yao hayajatimia, wanaamua kujitoa.
  • Ukweli ni kwamba Yanga pekee haijamnufaisha GSM

Kosa kubwa walilolifanya TFF ni kuingia mkataba na GSM na kusema huo mkataba ni wao, vilabu hauwahusu.
kosa lilianzia hapa

7C052BA9-AA65-48DB-8A6F-F6F16D119904.jpeg
 
Basi hat a Azam media wasingeendelea na mkataba wa mabilioni na Yanga wenye thaman kubwa kuzidi uwekezaji wa Mo. Yanga ni timu kubwa sana. Kinachomuondoa GSM ni mkauama kuuotekelezwa kwa mujibu wa makubaliano.

Pia, amelalamika correspondences zake hazijibiwi na TFF
Kujiondoa kwa GSM
  • Ni wazi mlengwa mkuu alikuwa ni Simba na sio vilabu vingine.
  • GSM ilianza kuji-atach kwa Haji Manara tangu alivyokuwa msemaji wa Simba.
  • Simba ilivyochomoa Betri ndio sababu nao wameona malengo yao hayajatimia, wanaamua kujitoa.
  • Ukweli ni kwamba Yanga pekee haijamnufaisha GSM

Kosa kubwa walilolifanya TFF ni kuingia mkataba na GSM na kusema huo mkataba ni wao, vilabu hauwahusu.
 
Nawapa hii kutoka chini ya kapeti. Huu ni mwanzo tu. Kuweni makini muwe na Plan B baada ya mdhamini wenu kunitoa mtaishije.

Baada ya GSM kujitoa kudhamini ligi na kisha kujitoa uenyekiti wa Kamati ya Hamasa, kinachofuata sasa ni kunitoa rasmi kudhamini Yanga na kibaki na mkataba wa msingi wa uuzaji wa jezi tu.
Wataanza kutembeza bakuli kama kawaida yao.. Biashara ya yeboyebo itarejea kwa kasi ya 5G pamoja na mauzo ya jezi feki
 
Kujiondoa kwa GSM
  • Ni wazi mlengwa mkuu alikuwa ni Simba na sio vilabu vingine.
  • GSM ilianza kuji-atach kwa Haji Manara tangu alivyokuwa msemaji wa Simba.
  • Simba ilivyochomoa Betri ndio sababu nao wameona malengo yao hayajatimia, wanaamua kujitoa.
  • Ukweli ni kwamba Yanga pekee haijainufaisha GSM, hadi kupelekea hizo jezi za Yanga wazigawe bure tu viwanjani, kila siku Yanga inapocheza.

Kosa kubwa walilolifanya TFF ni kuingia mkataba na GSM na kusema huo mkataba ni wao, vilabu hauwahusu.
Ile wa NBC upo vp?!...vilabu vilishiriki!?
 
Wataanza kutembeza bakuli kama kawaida yao.. Biashara ya yeboyebo itarejea kwa kasi ya 5G pamoja na mauzo ya jezi feki
Ndo dua zenu hizo. Yanga ana mkataba wa mabilioni tena wa miaka 10. Nyie mnamtegemea Mo na hela zake za urithi
 
INAKUUMA SANA, CHOMOA TU

UTAKAA SANA NA HIZO TETESI ZAKO
 
Jamaa hawezi jitoa Yanga kwa sasa, labda hadi ligi msimu huu itapoisha...

Yanga wanamsaidia sana kutangaza brand yake...
Hayo mabilioni anayotumia yanalingana na hayo matangazo ya yanga? Hakuna lolote, hata akijitoa biashara yakr haiwezi hata kuyumba
 
Wewe usifikiri hao ni Kama tajiri yenu anaewayumbisha kila kukicha twitter, akitishia kidogo tu kuwaacha mnakimbia kumlamba miguu, angalieni ya kwenu ya yanga ayawahusu acheni utaahira wenu pelekeni uko uko kwa makolo wenzako
Mngeanza nyie kuangalia ya kwenu ndipo Simba afuate.
Au hujaona press ya makimba wa utopolo cku ya leo ,yaan press nzima Ni kuisema Simba tu.
 
Nawapa hii kutoka chini ya kapeti. Huu ni mwanzo tu. Kuweni makini muwe na Plan B baada ya mdhamini wenu kunitoa mtaishije.

Baada ya GSM kujitoa kudhamini ligi na kisha kujitoa uenyekiti wa Kamati ya Hamasa, kinachofuata sasa ni kunitoa rasmi kudhamini Yanga na kibaki na mkataba wa msingi wa uuzaji wa jezi tu.
They will never do that

They need public support Kwa mambo wanayoyafanya

And yanga is the right platform kwao
 
Nawapa hii kutoka chini ya kapeti. Huu ni mwanzo tu. Kuweni makini muwe na Plan B baada ya mdhamini wenu kunitoa mtaishije.

Baada ya GSM kujitoa kudhamini ligi na kisha kujitoa uenyekiti wa Kamati ya Hamasa, kinachofuata sasa ni kunitoa rasmi kudhamini Yanga na kibaki na mkataba wa msingi wa uuzaji wa jezi tu.
Domokaya hua unatia aibu
 
Back
Top Bottom