Yanga ikae mguu sawa, GSM kujitoa Yanga

Yanga inamuheshimu sana GSM na kuthamini mchanjo wake. Tunamshukuru na kumpongeza kwa kujisaidia Yanga kufanikisha mchakato wa mabadiliko na msaada yote.

Kaisaidia vizuri na hata kama ataondoka ameiwezesha kuanza kujitegemea. Sio kama Simba ambako Mo akitweet mara moja wenzetu hawalali
 
We jamaa mshamba sana. Utatengeneza tetesi kwa sidhani Yanga wataumia kama ambavyo mmekuwa mnamuwaza MO
 
Unaumia nini?
 
Ndoto zingine siyo.Stuka utajinyea mkuu
 
Wewe usifikiri hao ni Kama tajiri yenu anaewayumbisha kila kukicha twitter, akitishia kidogo tu kuwaacha mnakimbia kumlamba miguu, angalieni ya kwenu ya yanga ayawahusu acheni utaahira wenu pelekeni uko uko kwa makolo wenzako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…