Yanga ikifungwa Jumamosi natembea bila nguo

Huo uchi unautembezea wapi mkuu.....AHADI NI DENI
 
Vipi ulitimiza ahadi yako??
 
Wako wapi ss kimia simba tunatembea kwa dharau mjini utawala wa simba ss
 
Ahadi ni deni, tekeleza ulichoahidi. Wakati mwingine muwe waangalifu.
 
Mkuu vipi? Hujabakwa kweli?
 

Utembee bila nguo ili iweje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…