yokohama yokozuna
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 322
- 115
Vp umetembea au umezimia?Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Ujue kutunza ahadi ni jambo la heshima sana kwa mwanaume wa ukweli. Niko barabarani nakusubiri upite mkuu maana muda mrefu sijaona mwanaume akitembea uchi aiseeKwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Vip ushatembea mkuuKwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Alikuwa anatania tuhuyu mtu kashatembea uchi tayari???
Boss rudi kwa maelezo yakoKwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Kwa hiyo muda huu battery umeshazikata? Pengine ndio yule uliyebebwa na wahudumu pale uwanjani!!!Mikia ikimfunga yanga nakata korodani zangu palepale taifa
mkuu njoo huku wenzio tunasubiri movie ya X bana.mkuu, hii haijakaa sawa. watu wanataka kupata uhakika wa kuona vyombo vyako live (me/ke).
sasa wewe mjanja..hapa umetutega. Yanga yako ikifungwa siku hiyo, umejipa kijanja option ya kuvaa rambo, visafeti, jute bags, makaratasi.... utadai siyo "nguo".
sema utatembea UCHI watu tujiandae na popcorn zetu tukisubiri kuangalia erotica movie ya dezo bana!!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] Dah! I wish ningekufahamu...Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Mikia ikimfunga yanga nakata korodani zangu palepale taifa
Mleta mada huyu?mbona huvui sasa