Yanga ikifungwa Jumamosi natembea bila nguo

Yanga ikifungwa Jumamosi natembea bila nguo

Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Vp umetembea au umezimia?
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Ujue kutunza ahadi ni jambo la heshima sana kwa mwanaume wa ukweli. Niko barabarani nakusubiri upite mkuu maana muda mrefu sijaona mwanaume akitembea uchi aisee
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Vip ushatembea mkuu
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Boss rudi kwa maelezo yako
 
I hope ushautembeza uch wako. Tupe update upo wap now?
 
mkuu, hii haijakaa sawa. watu wanataka kupata uhakika wa kuona vyombo vyako live (me/ke).

sasa wewe mjanja..hapa umetutega. Yanga yako ikifungwa siku hiyo, umejipa kijanja option ya kuvaa rambo, visafeti, jute bags, makaratasi.... utadai siyo "nguo".

sema utatembea UCHI watu tujiandae na popcorn zetu tukisubiri kuangalia erotica movie ya dezo bana!!
mkuu njoo huku wenzio tunasubiri movie ya X bana.
 
Nnakumbuka maneno aliyosema Julio alipokuwa anaojiwa na kituo kimoja cha habari ilikuwa ni kipindi cha michezo nnanukuu "Yanga ni kama gari ya maiti ya kwanza kwenda makaburini na ya mwisho kutoka makaburini"
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] Dah! I wish ningekufahamu...
 
simba
 

Attachments

  • IMG_20170225_185344.jpg
    IMG_20170225_185344.jpg
    27.6 KB · Views: 54
Kwakuwa nilikuunga mkono hoja yako mkuu, hapa niko utupu wa binadamu nazunguka tu room.
 
Back
Top Bottom