Yanga ikifungwa Jumamosi natembea bila nguo

Yanga ikifungwa Jumamosi natembea bila nguo

Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Fortaleza njoo utuonyeshe utupu wako maana uliahidi mbele ya JF hapa.
 
Hv ID yake bado iko active? Naona kama deactivated hehehehe
 
Jamaa lengo lake limetimia leo atakunywa, kisha atavua nguo aanguke kifudifudi. Kesho akiamka anahara
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
8bea34339f31d137133cbef2b4ebf11f.jpg
weee nakuhitaji huku
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Hahahha vp umetembea uchi wa mnyama au ?
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.

VIPI MKUU UMETEMBEA UCHI!!!

AU ZILIKUWA POMBE KICHWANI

AU NI AKILI ZA USIKU

AU ULIKUWA UNA......
 
Wow! Leo Jijini Dar Tumeshuhudia Makalio Mazuri Ya Mwanayeboyebo FC..
😀 😀 😀
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Woyoooooooo mpe mpe mupeeeeeeeeeee[emoji13]
 
Utatembea bila nguo zote au baadhi ya nguo? Na utafanya hivyo ukiwa na akili timamu au utakuwa umepungukiwa akili kwa kufungwa???Mtani ondoa azma hiyo,vijana wanateleza kama kambale!
[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Kwa akili hizi hatukawii kusikia niagieni
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Labda huna nguo
 
Back
Top Bottom