umelijuaje Hilo?Leo Yanga tumemfunga Capco goli 5
Lakini mtani amenuna eti Capco kavunja record yake ya kufungwa 5na Yanga
Simba alifungwa 5 hataki timu nyingine ifungwe goli 5
Mechi ijayo tutawafunga 10
Yanga yatinga robo fainal ligi ya mabingwa!Leo Yanga tumemfunga Capco goli 5
Lakini mtani amenuna eti Capco kavunja record yake ya kufungwa 5na Yanga
Simba alifungwa 5 hataki timu nyingine ifungwe goli 5
Mechi ijayo tutawafunga 10
Tumefurahi hamjafuzuTumefurahi hamjacheza CAFCL mpo shirikisho yaani UMISETA ni mashindano ya akina mama
Hujafurahishwa na timu lako kushiriki mashindano ya rede huko shirikisho yaani mashindano ya akinaTumefurahi hamjafuzu
Rufaa yenu ya kulalamika kuwa mc Algiers walipoteza muda kwa kuanguka hovyo Bado inasikilizwa. Ni hakika mtapata pointi 3 ili mfuzu
Unayakataa mashindano ya CAF Shirikisho yenye zawadi ya bilioni 5 kwa bingwa (na yenye faida zingine nyingi ikiwemo kupanda rank za CAF na kushiriki Super Cup), unaenda kutamba kuwafunga wasukuma kwenye TFF Shirikisho lenye zawadi ya milioni 20 kwa bingwa. Kweli Rage aliona mbali kuwaita mbumbumbu!Usiseme mabingwa kama mwaka huu upo unashiriki mashindano ya akina mama
Sasa hutaki kuwa tayari mpo robo fainal ya Caf kupitia game hii!Usiseme mabingwa kama mwaka huu upo unashiriki mashindano ya akina mama
Sasa nyie mpo robo ya shirikisho yaani mashindano ya akina Bado mna aibuUnayakataa mashindano ya CAF Shirikisho yenye zawadi ya bilioni 5 kwa bingwa (na yenye faida zingine nyingi ikiwemo kupanda rank za CAF na kushiriki Super Cup), unaenda kutamba kuwafunga wasukuma kwenye TFF Shirikisho lenye zawadi ya milioni 20 kwa bingwa. Kweli Rage aliona mbali kuwaita mbumbumbu!