3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Sasa mtakutana na mshindi kati ya Mamelod Sundown au Esperence baada ya ushindi wa leo kwenye hatua ya robo, hongereni sana nadhani kwa mechi ya leo Kocha kaona intensity ipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulivo mbumbumbu hukuelewa kuwa ule nilisema kuwapoteza nyie mbumbumbu kama alivosema Kaduguda na RageBro Sifa ya Mwanaume kamili ni msimamo,hii takataka yako unaikumbuka,Leo mmeshinda 5 umesahau.
Nakuuliza tena Side ni kocha bora Au sio Bora?
Sawa Simba ipo robo fainali ya CAF Shirikisho. Wewe unatamba kumfunga mtu goli 5 kwenye TFF Shirikisho. Kweli Rage aliona mbali kuwaita mbumbumbu.Sasa nyie mpo robo ya shirikisho yaani mashindano ya akina Bado mna aibu
Kama timu lako liko linashiriki rede na upatu yaani shirikisho ni mashindano ya akina mamaSasa mtakutana na mshindi kati ya Mamelod Sundown au Esperence baada ya ushindi wa leo kwenye hatua ya robo, hongereni sana nadhani kwa mechi ya leo Kocha kaona intensity ipo
Unampoteza nani wewe mshamba,Yaan wewe uje uwapoteze watu na kiandiko chako cha kipuuzi kama hiko.Ulivo mbumbumbu hukuelewa kuwa ule nilisema kuwapoteza nyie mbumbumbu kama alivosema Kaduguda na Rage
Mbona mechi ya leo nasikiasikia ni kombe la shirikisho mkuu imekuaje nanyi mshiriki kombe la kina mama!?Kama timu lako liko linashiriki rede na upatu yaani shirikisho ni mashindano ya akina mama
Una kauslow flani hivi. Sikulaumu tena....Tukisema uko shirikisho sema vizuri kuwa ni mashindano ya akina mama
Na wewe utamlaumu nani kwa kucheza Shirikisho lenye zawadi ya milioni 20?Mlaumu Rage aliyefanya mcheze shirikisho
Huko tupo kikanuni kwamba timu zote za ligi kuu, Championship, na ligi daraja la kwanzaMbona mechi ya leo nasikiasikia ni kombe la shirikisho mkuu imekuaje nanyi mshiriki kombe la kina mama!?
Juzi tu hapa 2012 ulikuwa bado unanyonya?Alifingwa lini?
Inaonyesha iliwauma sana mnashiriki mashindano mnafika fainali hapo hapo CAF wanaona huu usng wanataka kufuta mashindano. Hii inauma saaana.Kwani haya mashindano yashawahi kujadiliwa kuwa yafutwe kama Yale ya CAFCC
Huko tupo kikanuni kwamba timu zote za ligi kuu, Championship, na ligi daraja la kwanza
Ila shirikisho ya mtani yeye ni uweZo mdogo
Kipindi tunashiriki yalikuwa na hadhiInaonyesha iliwauma sana mnashiriki mashindano mnafika fainali hapo hapo CAF wanaona huu usng wanataka kufuta mashindano. Hii inauma saaana.
Misimu miwili mbele, Simba inarudisha hadhi ya mashindano na CAF kwa kutambua ukubwa wa Simba hadi zawadi za washindi zinaongezwa.