Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siasa za uke wenza.Lazima wapewe goli sawaLeo Yanga tumemfunga Capco goli 5
Lakini mtani amenuna eti Capco kavunja record yake ya kufungwa 5na Yanga
Simba alifungwa 5 hataki timu nyingine ifungwe goli 5
Mechi ijayo tutawafunga 10
Zaidi ya miaka 30 umefika robo fainali mara moja kwenye CAFCL, hivi unapata wapi nguvu ya kutamba wewe chura? Kweli Rage alikuwa sahihi mbumbumbu mmejaa hapo utopoloni.Nimecheka mashindano makubwa barani Africa CAFCL nimeishia group stage
Timu lako lipo umamani linacheza rede
AIbu ya nini ikiwa yanga anakwama kwa timu dhaifu kama al hilal!CAFCL tumeishia group stage nyie mbona mna aibu kusema mnashiriki mashindano gani?
Alikuwa JK wa pili , wewe ulikuwa kijijini?Rais alikuwa Samia?
Ulichukua kombe ulipo shiriki?Kipindi tunashiriki yalikuwa na hadhi
Ila haya ya Sasa Motsepe alivoona mambumbumbu yamo akaona ayafute
Kuna yule Alger mwengine alikunyoosha fainali una bahati mbaya sana na wakina AlgerNimecheka mashindano makubwa barani Africa CAFCL nimeishia group stage
Timu lako lipo umamani linacheza rede
Rage alikuwa kiongozi wa Simba na alisema wazi kuwa Wanachama wa Simba ni mbumbumbu na wala haijawahi kuomba radhiZaidi ya miaka 30 umefika robo fainali mara moja kwenye CAFCL, hivi unapata wapi nguvu ya kutamba wewe chura? Kweli Rage alikuwa sahihi mbumbumbu mmejaa hapo utopoloni.
Kombe lake unalo ?maana nakumbuka medali tu mlizunguka nazo mpaka wasafi fmHuko umamani mnakocheza rede mnatia aibu taifa
Atulie kwanza,vidogo vinatoa ndogo,ye kuweza?Mke mkubwa Huwa hapendi
Anataka 5 awe anapigwa mwenyewe tu
😆😆😕🤣😂😅Atatoa ndogo, siunajua naye mke mkubwa hapendagi kupitwa