ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
- Thread starter
- #41
Kwani Kaduguda Kiongozi pale Simba ni si ndo alisema CAFCC ni mashindano ya akina mama Sasa kwanini unilaumu mim"Kama timu lako liko linashiriki rede na upatu yaani shirikisho ni mashindano ya akina mama"
Hapo hakuna exceptional unayoileta sasa mkuu, shirikisho kwa mujibu wako ni mashindano ya akina mama sasa kwanini mnashiriki?