Yanga ikishinda kesi mtaelewa kwanini Morrison hakuwa akicheza mechi zote, na alizocheza Simba wananyang'anywa points

Mawazo yako ni sawa na kupiga punieto tu
 
Utopolo mulituahidi kuwa Kesi ya Morrison itasikilizwa na Mahakama ya CAS tarehe 2/06/2021, ninawakumbusha tu kuwa leo ni tarehe 05/06/2021 hivyo tunaomba mrejesho wa kuwa Simba kupokonywa points ngapi na kashushwa madaraja mangapi.
Pia ubingwa wenu mutatangaza lini?
 
Mkuu ingia tovuti ya CAS, tarehe 29.07.2021
Kesi inasikilizwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…