Yanga imeifunga Azam mara nyingi ndani ya miaka 5 kuliko Simba kuifunga Azam

Yanga imeifunga Azam mara nyingi ndani ya miaka 5 kuliko Simba kuifunga Azam

Sodoku

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2016
Posts
1,271
Reaction score
2,903
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa. Mtanirekebisha wadau.
Hii ni kabla ya matches ya jana. Otherwise pia draws ni nyingi sana. Ila Yanga imemchapa sana Azam tena kwa magoal lukuki.

IMG-20240926-WA0078.jpg
 
Toka ushindi wa simba huu ni uzi wa 30 wa malalamiko😁
 
Back
Top Bottom