Sodoku JF-Expert Member Joined Feb 3, 2016 Posts 1,271 Reaction score 2,903 Sep 28, 2024 #1 Kama kumbukumbu zangu zipo sawa. Mtanirekebisha wadau. Hii ni kabla ya matches ya jana. Otherwise pia draws ni nyingi sana. Ila Yanga imemchapa sana Azam tena kwa magoal lukuki.
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa. Mtanirekebisha wadau. Hii ni kabla ya matches ya jana. Otherwise pia draws ni nyingi sana. Ila Yanga imemchapa sana Azam tena kwa magoal lukuki.
Abuu Kauthar JF-Expert Member Joined Jul 10, 2011 Posts 4,296 Reaction score 6,492 Sep 28, 2024 #2 We ni mjinga
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 30,567 Reaction score 86,748 Sep 28, 2024 #3 Sasa zile kelele za kwamba azam ikiwa inacheza na yanga inakamia na ikiwa inacheza na simba inaachia ili ifungwe zinatoka wapi
Sasa zile kelele za kwamba azam ikiwa inacheza na yanga inakamia na ikiwa inacheza na simba inaachia ili ifungwe zinatoka wapi
M Mpalakugenda JF-Expert Member Joined Jun 2, 2015 Posts 4,611 Reaction score 5,009 Sep 28, 2024 #4 Jadda said: Sasa zile kelele za kwamba azam ikiwa inacheza na yanga inakamia na ikiwa inacheza na simba inaachia ili ifungwe zinatoka wapi Click to expand... Ulishaambiwa kule wenye akili ni wawili. Sasa unatarajia waseme nini?
Jadda said: Sasa zile kelele za kwamba azam ikiwa inacheza na yanga inakamia na ikiwa inacheza na simba inaachia ili ifungwe zinatoka wapi Click to expand... Ulishaambiwa kule wenye akili ni wawili. Sasa unatarajia waseme nini?
R Right eye JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 1,149 Reaction score 1,994 Sep 28, 2024 #5 Sasa hapa umeweka hii post tudiscuss kipi?
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 23,322 Reaction score 64,738 Sep 28, 2024 #6 Toka ushindi wa simba huu ni uzi wa 30 wa malalamikoš
mdukuzi JF-Expert Member Joined Jan 4, 2014 Posts 20,925 Reaction score 51,688 Sep 28, 2024 #7 Kuna majitu mikeka yao imechanika ndio inateseka Yaliweka mzigo upande wa Azam bila kujua Simba hata ikiwa mbovu vipi bado ni simba tu
Kuna majitu mikeka yao imechanika ndio inateseka Yaliweka mzigo upande wa Azam bila kujua Simba hata ikiwa mbovu vipi bado ni simba tu