Yanga imejipeleka Al Hilal; itapigwa kama ngoma

Yanga imejipeleka Al Hilal; itapigwa kama ngoma

Hawa ndio wafalme wa Soka la Sudan, Ndio klabu iliyobeba mataji mengi zaidi nchini humo na Ndio Wawakilishi Bora zaidi wa CECAFA kwenye CAF.

Hilal imeshacheza Fainali za CAF mara 2 zote Ilipoteza, Ilikua 1987 Kwa Ahly ya Misri na 1992 Kwa Wydad Casablanca ya Morocco.

Imecheza nusu Fainali ya michuano ya CAF mara nyingi zaidi ya klabu yoyote ya CECAFA, ikifanya hivyo mara 5, Robo Fainali nyingi.

Makundi 'Business as usual' Mara mwisho Msimu Jana, 2021/22, Hilal Kwa Sasa Wana nguvu ya Kiuchimi. Kwanini ?

Wana kikosi kinachokaririwa kua na thamani ya Dola za marekani $ Million 2.75 zaidi ya Tsh Bilioni 6.3.

Baada ya Misimu kadhaa kutofanya makubwa kimataifa, Hilal Walimuomba Tycoon, Bilionea Turk El Sheikh wa Saudia Arabia kua raisi wa heshima wa klabu hiyo.

Huyu Mwamba ndiye aliyeinunua Pyramid FC ya Misri kutoka Al Assiyout kitaka kuifanya klabu hatari zaidi Misri na Afrika, Baadae akaiuza.

Mwamba huyu anayemiliki klabu ya Almeria ya Hispania aliweka mzigo Kwa kuongeza nyota wenye uwezo ili Hilal ifanye vizuri zaidi Afrika.

Aliingia Msimu uliopita ila Msimu huu akaweka Mkwanja, Ambao Umenunua Nyota wengi kama Issa Fofana kutoka San Pedro ya Ivory Coast, Cloud Singone kutoka Asec Mimosas ya Ivory Coast pia.

Imoro Ibrahim kutoka Asante Kotoko ya Ghana, John Mano(aliwafunga Simba, Kirafiki), Makabi Lilepo kutoka DRC, Lamine Diedhou kutoka Senegal.

Wakarudisha mtambo wao wa mabao Waleed Bkhet aliyekua Kuwait akitoke Hilal na amerejea tena.

Kama haitoshi Kocha mwenye taji la Shirikisho Afrika Msimu Jana Frolent Ibenge wa DRC. Mpango wao ni Operation Semi Finals, Next destination is Jangwani.
Wejamaa litakufa jitu!
 
Iwapo mtamfunga El hilal hicho ndicho kitakuwa kipimo sahihi kwa utopolo.
Baada ya hapo sitawaita tena Utopolo.
Kwa humu ndani mna shinda kwa mbinu nyingi nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja
 
Hawa ndio wafalme wa Soka la Sudan, Ndio klabu iliyobeba mataji mengi zaidi nchini humo na Ndio Wawakilishi Bora zaidi wa CECAFA kwenye CAF.

Hilal imeshacheza Fainali za CAF mara 2 zote Ilipoteza, Ilikua 1987 Kwa Ahly ya Misri na 1992 Kwa Wydad Casablanca ya Morocco.

Imecheza nusu Fainali ya michuano ya CAF mara nyingi zaidi ya klabu yoyote ya CECAFA, ikifanya hivyo mara 5, Robo Fainali nyingi.

Makundi 'Business as usual' Mara mwisho Msimu Jana, 2021/22, Hilal Kwa Sasa Wana nguvu ya Kiuchimi. Kwanini ?

Wana kikosi kinachokaririwa kua na thamani ya Dola za marekani $ Million 2.75 zaidi ya Tsh Bilioni 6.3.

Baada ya Misimu kadhaa kutofanya makubwa kimataifa, Hilal Walimuomba Tycoon, Bilionea Turk El Sheikh wa Saudia Arabia kua raisi wa heshima wa klabu hiyo.

Huyu Mwamba ndiye aliyeinunua Pyramid FC ya Misri kutoka Al Assiyout kitaka kuifanya klabu hatari zaidi Misri na Afrika, Baadae akaiuza.

Mwamba huyu anayemiliki klabu ya Almeria ya Hispania aliweka mzigo Kwa kuongeza nyota wenye uwezo ili Hilal ifanye vizuri zaidi Afrika.

Aliingia Msimu uliopita ila Msimu huu akaweka Mkwanja, Ambao Umenunua Nyota wengi kama Issa Fofana kutoka San Pedro ya Ivory Coast, Cloud Singone kutoka Asec Mimosas ya Ivory Coast pia.

Imoro Ibrahim kutoka Asante Kotoko ya Ghana, John Mano(aliwafunga Simba, Kirafiki), Makabi Lilepo kutoka DRC, Lamine Diedhou kutoka Senegal.

Wakarudisha mtambo wao wa mabao Waleed Bkhet aliyekua Kuwait akitoke Hilal na amerejea tena.

Kama haitoshi Kocha mwenye taji la Shirikisho Afrika Msimu Jana Frolent Ibenge wa DRC. Mpango wao ni Operation Semi Finals, Next destination is Jangwani.
Umeelezea vizuri sana sasa usije ukabadili chochote kwenye uzi wako huu baada ya mechi ya kwanza kwa mkapa, ni uzi tunaouhifahi kwa reference ya badae maana amchelewi kugeuza maneno baada ya kipigo tena mtoa mada umekuwa bingwa wa kuzikimbia nyuzi zako, inaonekana mashabiki wa makolo wote matumaini yenu yako kwa al hilal sasa mtaaibishwa na mtaondoka uwanjani kwa aibu kubwa, yanga kajipanga ndani ya uwanja mpaka nje ya uwanja na iyo timu yenu mwisho wake ni kwa mkapa sudani ni kwenda kufunga hesabu tu
 
Mda wa kuandika huu ujinga mnautoa wapi? Ungefanya research kuhusu upungufu wa chakula nchini ningekuona wa maana sasa unaandika gazeti la huu ujinga ili kumfaidisha nani?

Vipi wewe? Huo muda uliochukua kusoma huu uzi na kisha kucomment si ungeifanya hiyo research wewe? Zaidi wewe ndiye uliyeandika ujinga plus ambao kwa akili zako za kiduwanzi na kiutopolo unaona umeandika bonge la point.
 
Iwapo Zalan waliwadindia dk 45 zote na hawana hata control ya mpira,itakuwaje kwa hawa wamemtoa st George anayeupiga wa Kibrazil?
Mpira upo hivyo? last season Simba alifungwa na Mbeya city, Kagera na Prison lakini Simba akawafunga Berkane kwa maelezo yako hizo timu zingeweza kuifunga Berkane
 
TIMU KUBWA ZINAANZIA UGENINI ILA MAMA WA KAMBO SASA DE KINYESI BIN WAHEEDD [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Kumbe Geita Gold ni timu kubwa? Aliyewaita mbumbumbu hakukosea hamna akili kichwani.
 
Waache watoke tuingie shirikisho ndio level zetu kwa sasa wakati tukiendelea kuijenga timu.
 
Ngoja niweke niweke akiba maneno mpaka siku mechi zote zikipigwa na kumalizika.
Tuko pamoja mkuu, tuache maneno tujitokeze kwa wingi kwa Mkapa tukaipe support timu yetu.
 
1663567003724.png
 
Back
Top Bottom