Yanga imejipeleka Al Hilal; itapigwa kama ngoma

Iwapo mtamfunga El hilal hicho ndicho kitakuwa kipimo sahihi kwa utopolo.
Baada ya hapo sitawaita tena Utopolo.
Kwa humu ndani mna shinda kwa mbinu nyingi nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja
 

Attachments

  • VID-20220919-WA0023.mp4
    1.5 MB
Unaandika huu uzi huku mavi yanagonga pichu..teh teh teh...kolo wahed.....atapigwa yoyote anayekuja mbele yetu
 
Ilipotoka fixture tu tayari nili iona Yanga group stage, uhitaji utabiri ni kufuatilia timu anazo kwenda kukutana nazo na kujua ubora wao Kwa Sasa.
 
Bora wakapigwe tu, jaman huku mtaani hatukohoi kisa Yanga kamtoa Zalan, Kwanza timu yenyewe ya Zalan hata Ndanda tu ya Mtwara wanaupigwa mwingi lakin Yanga makelele kila kona!
 
Kwa miaka ya karibuni Al Hilal kila msimu anaingia makundi. Ni mapema sana kutolewa na utopolo

Upo sahihi kabisa mkuu hayo ndio majina tuliyoyazoea kuyaona huko ,sio yanga.

Tuwaache wajionee huko wenyewe ukiwaambia hawata kuelewa.
 
Vipi wewe? Huo muda uliochukua kusoma huu uzi na kisha kucomment si ungeifanya hiyo research wewe? Zaidi wewe ndiye uliyeandika ujinga plus ambao kwa akili zako za kiduwanzi na kiutopolo unaona umeandika bonge la point.
Ni mpuuzi sana huyo, alishaanzaga kujisogeza kwangu, nikamwabia acha kunizoea

Halafu hana ajualo zaidi ya upuuzi kichwani, sasa kuna mada ya mpira yeye anakuja na mada ya upungufu wa Chakula.
 
kusingekuwa na teknolojia ya simujanja ungekuwa mchawi.
 
Bora wakapigwe tu, jaman huku mtaani hatukohoi kisa Yanga kamtoa Zalan, Kwanza timu yenyewe ya Zalan hata Ndanda tu ya Mtwara wanaupigwa mwingi lakin Yanga makelele kila kona!
Hivi unakumbuka mara ya misho yanga kufungwa ni lini?
Unakumbuka pia simba kafa 2 taifa na yanga? Kwa hy nao tuwafananishe na mbea siti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…