Tetesi: Yanga imekataa ofa ya pili ya klabu ya Wydad ya Tsh Bilioni 1.7

Tetesi: Yanga imekataa ofa ya pili ya klabu ya Wydad ya Tsh Bilioni 1.7

Mr Alpha

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
273
Reaction score
765
- Wydad Casablanca wanamtaka mshambuliaji Clement Mzize (20).

Ofa ya kwanza ya Wydad kwenda Yanga kwa ajili ya kuinasa saini ya Clement Mzize ilikuwa $100k Tsh 270 milioni na kipengele cha kuongeza pesa hadi kufika 400 million kutokana na Performance yake uwanjani.

Yanga wakaitupilia mbali ofa hiyo bila hata kuijadili.. Wakawaambia Wydad wanataka Tsh 2.7 Billion ndipo wamuachie Mzize ambaye aliongeza mkataba mpya.

Wydad wamerejea na ofa ya Tsh 1.7 Billion, Yanga wamekataa. Klabu hiyo ya Morocco imepanga kuja na ofa mpya ya mwisho

- Kilichowavutia Wydad kwa Mzize ni:

- Eneo analocheza limekuwa gumu kupata washambuliaji bora wenye uwezo, wameona potential kwa Clement Mzize.
  • Umri wake mdogo.
  • Uwezo wake uwanjani.
Akiwa Afrika Kusini kocha wa Yanga SC, Gamondi alisema wana malengo ya kufanya vizuri katika ligi ya mabingwa hivyo mchezaji yoyote muhimu katika kikosi chao hataondoka labda yeye asiwepo.

Yanga kuna uwezekano pia watakataa ofa ya tatu ya mwarabu[emoji3]
 
UMri wake
 

Attachments

  • Screenshot_20240822_012927_Chrome.jpg
    Screenshot_20240822_012927_Chrome.jpg
    300.5 KB · Views: 8
- Wydad Casablanca wanamtaka mshambuliaji Clement Mzize (20).

Ofa ya kwanza ya Wydad kwenda Yanga kwa ajili ya kuinasa saini ya Clement Mzize ilikuwa $100k Tsh 270 milioni na kipengele cha kuongeza pesa hadi kufika 400 million kutokana na Performance yake uwanjani.

Yanga wakaitupilia mbali ofa hiyo bila hata kuijadili.. Wakawaambia Wydad wanataka Tsh 2.7 Billion ndipo wamuachie Mzize ambaye aliongeza mkataba mpya.

Wydad wamerejea na ofa ya Tsh 1.7 Billion, Yanga wamekataa. Klabu hiyo ya Morocco imepanga kuja na ofa mpya ya mwisho

- Kilichowavutia Wydad kwa Mzize ni :

- Eneo analocheza limekuwa gumu kupata washambuliaji bora wenye uwezo, wameona potential kwa Clement Mzize.

  • Umri wake mdogo.
  • Uwezo wake uwanjani.
Akiwa Afrika Kusini kocha wa Yanga SC, Gamondi alisema wana malengo ya kufanya vizuri katika ligi ya mabingwa hivyo mchezaji yoyote muhimu katika kikosi chao hataondoka labda yeye asiwepo.

Yanga kuna uwezekano pia watakataa ofa ya tatu ya mwarabu[emoji3]
Ni kama hii timu ina hela za bure kutoka kwa wadanganyika. Hawanaga shida na soccer Business wala nini. Subirini wakiondoka wala kwa urefu wa kamba.
 
Kinachowavutia wydad ni progress aliyo nayo mzize anaonekana ni mtu anaefundishika na kiwango hakijafika mwisho wanaamini wakimpika zaidi atakuwa tishio
Binafsi napenda kuona akicheza wydad ili wakikutana na team fudenge mzize awapige akiwa huko huko
 
Back
Top Bottom