Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Unaweza kuona km umeongea mzaha ila kuna ukweli ndani yakebado yanga wanamlipa laki sita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kuona km umeongea mzaha ila kuna ukweli ndani yakebado yanga wanamlipa laki sita
Mi naona kama shemeji yako anafaidi. Kamwoa dada yako kapewa na wewe kama nyongeza.... 🤣Naona unamionea sana wivu dada yangu kama vipi nenda na wewe mkapigwe three some
Wewe utakua mbeba upumbavu mkuu maana bila hivyo usingejua huo upumbavu wa YangaYanga ina historia nene kwenye mambo ya kipuuzi. Ina utajiri mkubwa wa upumbavu.
Wapumbavu kama wewe hua natia block, go to hell G*yMi naona kama shemeji yako anafaidi. Kamwoa dada yako kapewa na wewe kama nyongeza.... 🤣
a uta enjoy nini timu yako kila siku vilioComedy kwenye soka huwa nainjoi sana
Acha kujitia umuhimu kwenye maisha ya watuKwahiyo wenye miguu wote wanacheza mpira! Kweli wewe msukule wa GSM!
Mwambie hersi maneno hayo maana yeye ndiye kiherehere.Acha kujitia umuhimu kwenye maisha ya watu
Mbumbumbu kwenye one and twoMwambie hersi maneno hayo maana yeye ndiye kiherehere.
Nonda aliuzwa mwaka 1995 na uongozi wa George Mpondela (Casto)Nonda alitoroka,walitakiwa wawili,mmoja alikua mtz,mtz aliogopa kuondoka,si unajua akili za kijamaa ile 1990s,ila yanga walitia ngumu,ilikua kawaida yao huko nyuma
Mwacheni kijana akajitafute hamna mchezaji mwenye thamani ya kiasi mnachokitaka.Mbumbumbu kwenye one and two
Huyo ni mamasamia..😁😁Mayele, Kisinda walitoka 5imba pia?
,
Nonda Shaaban hakuuzwa na Yanga. Alijiondokea tu walivyoenda South Africa. Kama taratibu zingefuatwa Yanga ingenufaika sana na Nonda ila kwa sababu ya upumbavu Nonda hakuinufaisha Yanga.
Sahihi kabisa. Naomba niishie hapo tafadhaliNonda alitoroka,walitakiwa wawili,mmoja alikua mtz,mtz aliogopa kuondoka,si unajua akili za kijamaa ile 1990s,ila yanga walitia ngumu,ilikua kawaida yao huko nyuma
AlitorokaNonda Shabani alitoka Yanga na kwenda kucheza ligi ya Ufaransa unaesema Yanga haiuzi wachezaji huyo Papii ilikuaje?
Nonda Shabani alitoka Yanga na kwenda kucheza ligi ya Ufaransa unaesema Yanga haiuzi wachezaji huyo Papii ilikuaje?
Nonda alipata kibali kutoka Congo, Malima alitaka kufanyiwa mpango akaogopaHuna unalo lijua, Kaangalie mahojiano ya Bakari Malima aliye ondoka na Nonda utaelewa kuliko kukurupuka. Yaani uingie Nchi ya watu bila vibali na uanze kucheza mpira professional, mambo ya kushangaza sana Kwa namna unavyo fikiri.
Inaonekana ni mtoto wa juzi hujui yaliyojiri miaka hiyo. Kaa na wakubwa zako wakusimulie. Hata Edibily Lunyamila angecheza Ulaya akaponzwa na timu ya kipumbavu Yanga.Wewe utakua mbeba upumbavu mkuu maana bila hivyo usingejua huo upumbavu wa Yanga
Wapumbavu kama wewe hua natia block, go to hell G*y
Nyie Generation Z ndio wajuaji wakubwa mnaleta story za kusimuliwa mnataka kuwabeba baba zenu hapa. Nenda kapeleke ngonjera kwa vitoto vyenzako hukoInaonekana ni mtoto wa juzi hujui yaliyojiri miaka hiyo. Kaa na wakubwa zako wakusimulie. Hata Edibily Lunyamila angecheza Ulaya akaponzwa na timu ya kipumbavu Yanga.
Nonda alikua mchezaji halali wa Yanga msimu 1994/1995 na Msimu uo Yanga ilitolewa na Black pool ya Zimbabwe katika hatua ya Robo fainali Kombe la washindi Afrika.Nonda Shaaban hakuuzwa na Yanga. Alijiondokea tu walivyoenda South Africa. Kama taratibu zingefuatwa Yanga ingenufaika sana na Nonda ila kwa sababu ya upumbavu Nonda hakuinufaisha Yanga.
Umeandika upupu.Nonda alikua mchezaji halali wa Yanga msimu 1994/1995 na Msimu uo Yanga ilitolewa na Black pool ya Zimbabwe katika hatua ya Robo fainali.
Yanga wakiwa toa vaal professional ya South Afrika kwa Agg ya 4-2
Wakaja kuwatoa timu ya Mauritania wakaja kutolewa na Black pool hatua ya Robo fainali.
Baada ya Yanga kutolewa ndipo Vaal professional waka muhitaji Nonda.
Nonda aliuzwa Chini ya Mwenyekiti Mpondela kwa Dola 10,000/= kwenda Vaal professional ya South Afrika
Haiwezekani ITC ya Nonda itoke shirikisho la mpira la DRC wakati mchezaji Nonda alikua amesajiliwa na Yanga.
Haiwezekani Nonda ashiriki michuano ya Kombe la washindi mpaka hatua ya Robo fainali wakati kibali wanacho shirikisho la mpira DRC.
Kama ITC yake ingekua haipo Tanzania (FAT) asingeweza kuchezea Yanga mashindano ya Ligi ya Ndani Wala Mashindano ya kimataifa.
Nonda alikwenda Vaal professional kwa baraka zote za Yanga na Chama Cha mpira wa miguu Tanzania kilituma ITC yake kule South Afrika.