Tetesi: Yanga imekataa ofa ya pili ya klabu ya Wydad ya Tsh Bilioni 1.7

Tetesi: Yanga imekataa ofa ya pili ya klabu ya Wydad ya Tsh Bilioni 1.7

Nonda alikua mchezaji halali wa Yanga msimu 1994/1995 na Msimu uo Yanga ilitolewa na Black pool ya Zimbabwe katika hatua ya Robo fainali.
Yanga wakiwa toa vaal professional ya South Afrika kwa Agg ya 4-2
Wakaja kuwatoa timu ya Mauritania wakaja kutolewa na Black pool hatua ya Robo fainali.
Baada ya Yanga kutolewa ndipo Vaal professional waka muhitaji Nonda.

Nonda aliuzwa Chini ya Mwenyekiti Mpondela kwa Dola 10,000/= kwenda Vaal professional ya South Afrika

Haiwezekani ITC ya Nonda itoke shirikisho la mpira la DRC wakati mchezaji Nonda alikua amesajiliwa na Yanga.
Haiwezekani Nonda ashiriki michuano ya Kombe la washindi mpaka hatua ya Robo fainali wakati kibali wanacho shirikisho la mpira DRC.

Kama ITC yake ingekua haipo Tanzania (FAT) asingeweza kuchezea Yanga mashindano ya Ligi ya Ndani Wala Mashindano ya kimataifa.

Nonda alikwenda Vaal professional kwa baraka zote za Yanga na Chama Cha mpira wa miguu Tanzania kilituma ITC yake kule South Afrika.
Katika watu naowakubali kwenye hili jukwaa la michezo basi wewe ndo namba moja... Hua napenda sana kusoma comments zako coz hua zinaniongezea kitu ... [emoji1666]
 
Hapo nia ni kumkomoa Mzize ili aendelee kumsujudia Hersi na chawa wake,nchi imejaa visokorokwinyo hii!
Hapana sio kumkomoa bali cha kwanza kieleweke ni kwamba Yanga ina malengo yake msimu huu na Mzize yupo katika mipango ya kocha kwenye msimu huu na usajili umeshafungwa dirisha hili hivyo Yanga lazima wafanye biashara ya faida kwamba wanalazimika kumuuza kwavile dau limekuwa nono zaidi. Hakuna replacement ya Mzize kwasasa hivyo italazimika kupangua mipango ya kocha. Jambo la pili ni Mzize anaongezewa thamani hapo, kama atauzwa kwa bei kubwa ni ngumu sana kuwekwa benchi labda itokee kashuka kiwango.
 
Back
Top Bottom