Tetesi: Yanga imekataa ofa ya pili ya klabu ya Wydad ya Tsh Bilioni 1.7

Tetesi: Yanga imekataa ofa ya pili ya klabu ya Wydad ya Tsh Bilioni 1.7

- Wydad Casablanca wanamtaka mshambuliaji Clement Mzize (20).

Ofa ya kwanza ya Wydad kwenda Yanga kwa ajili ya kuinasa saini ya Clement Mzize ilikuwa $100k Tsh 270 milioni na kipengele cha kuongeza pesa hadi kufika 400 million kutokana na Performance yake uwanjani.

Yanga wakaitupilia mbali ofa hiyo bila hata kuijadili.. Wakawaambia Wydad wanataka Tsh 2.7 Billion ndipo wamuachie Mzize ambaye aliongeza mkataba mpya.

Wydad wamerejea na ofa ya Tsh 1.7 Billion, Yanga wamekataa. Klabu hiyo ya Morocco imepanga kuja na ofa mpya ya mwisho

- Kilichowavutia Wydad kwa Mzize ni :

- Eneo analocheza limekuwa gumu kupata washambuliaji bora wenye uwezo, wameona potential kwa Clement Mzize.

  • Umri wake mdogo.
  • Uwezo wake uwanjani.
Akiwa Afrika Kusini kocha wa Yanga SC, Gamondi alisema wana malengo ya kufanya vizuri katika ligi ya mabingwa hivyo mchezaji yoyote muhimu katika kikosi chao hataondoka labda yeye asiwepo.

Yanga kuna uwezekano pia watakataa ofa ya tatu ya mwarabu[emoji3]
Waraabu wakiweka gela awafanyi biashara kwa hasaraaaqa
Cc
Mayele
 
Mimi mshabiki wa yanga ila najua hizo hela ulizotaja kwenye offer ni za uongo. Zimekuzwa tu.

Bei za kununua wachezaji sub saharan Africa zinajulikana
 
Kama ni kweli basi wamuachie aende. Yanga wasiwe na roho mbaya.
 
Kama mchezaji yupo kwenye mipango ya kocha basi sawa ila kama hayupo wa mwachie.
 
- Wydad Casablanca wanamtaka mshambuliaji Clement Mzize (20).

Ofa ya kwanza ya Wydad kwenda Yanga kwa ajili ya kuinasa saini ya Clement Mzize ilikuwa $100k Tsh 270 milioni na kipengele cha kuongeza pesa hadi kufika 400 million kutokana na Performance yake uwanjani.

Yanga wakaitupilia mbali ofa hiyo bila hata kuijadili.. Wakawaambia Wydad wanataka Tsh 2.7 Billion ndipo wamuachie Mzize ambaye aliongeza mkataba mpya.

Wydad wamerejea na ofa ya Tsh 1.7 Billion, Yanga wamekataa. Klabu hiyo ya Morocco imepanga kuja na ofa mpya ya mwisho

- Kilichowavutia Wydad kwa Mzize ni :

- Eneo analocheza limekuwa gumu kupata washambuliaji bora wenye uwezo, wameona potential kwa Clement Mzize.

  • Umri wake mdogo.
  • Uwezo wake uwanjani.
Akiwa Afrika Kusini kocha wa Yanga SC, Gamondi alisema wana malengo ya kufanya vizuri katika ligi ya mabingwa hivyo mchezaji yoyote muhimu katika kikosi chao hataondoka labda yeye asiwepo.

Yanga kuna uwezekano pia watakataa ofa ya tatu ya mwarabu[emoji3]
Haya wanayofanya yanga yatakuwa na maana tu kama klabu bigwa na kombe la supercup watafanya vizuri tofauti na hapo wataaibika sana.
 
Kinachowavutia wydad ni progress aliyo nayo mzize anaonekana ni mtu anaefundishika na kiwango hakijafika mwisho wanaamini wakimpika zaidi atakuwa tishio
Binafsi napenda kuona akicheza wydad ili wakikutana na team fudenge mzize awapige akiwa huko huko
Wydad hayupo shirikisho
 
- Wydad Casablanca wanamtaka mshambuliaji Clement Mzize (20).

Ofa ya kwanza ya Wydad kwenda Yanga kwa ajili ya kuinasa saini ya Clement Mzize ilikuwa $100k Tsh 270 milioni na kipengele cha kuongeza pesa hadi kufika 400 million kutokana na Performance yake uwanjani.

Yanga wakaitupilia mbali ofa hiyo bila hata kuijadili.. Wakawaambia Wydad wanataka Tsh 2.7 Billion ndipo wamuachie Mzize ambaye aliongeza mkataba mpya.

Wydad wamerejea na ofa ya Tsh 1.7 Billion, Yanga wamekataa. Klabu hiyo ya Morocco imepanga kuja na ofa mpya ya mwisho

- Kilichowavutia Wydad kwa Mzize ni :

- Eneo analocheza limekuwa gumu kupata washambuliaji bora wenye uwezo, wameona potential kwa Clement Mzize.

  • Umri wake mdogo.
  • Uwezo wake uwanjani.
Akiwa Afrika Kusini kocha wa Yanga SC, Gamondi alisema wana malengo ya kufanya vizuri katika ligi ya mabingwa hivyo mchezaji yoyote muhimu katika kikosi chao hataondoka labda yeye asiwepo.

Yanga kuna uwezekano pia watakataa ofa ya tatu ya mwarabu[emoji3]

DOGO UMEYABEBA HIVYO HIVYO KUYALETA NA WAKATI TULIKUWA TUNAWATAMBISHIA TU MIKIA HIZI HABARI? UWE UNACHUJA. TULIKIWA TUNAWAUMIZA TU MIKIA KWA HIZI TAARIFA MUDA ULE TUNABISHANA.
 
- Wydad Casablanca wanamtaka mshambuliaji Clement Mzize (20).

Ofa ya kwanza ya Wydad kwenda Yanga kwa ajili ya kuinasa saini ya Clement Mzize ilikuwa $100k Tsh 270 milioni na kipengele cha kuongeza pesa hadi kufika 400 million kutokana na Performance yake uwanjani.

Yanga wakaitupilia mbali ofa hiyo bila hata kuijadili.. Wakawaambia Wydad wanataka Tsh 2.7 Billion ndipo wamuachie Mzize ambaye aliongeza mkataba mpya.

Wydad wamerejea na ofa ya Tsh 1.7 Billion, Yanga wamekataa. Klabu hiyo ya Morocco imepanga kuja na ofa mpya ya mwisho

- Kilichowavutia Wydad kwa Mzize ni :

- Eneo analocheza limekuwa gumu kupata washambuliaji bora wenye uwezo, wameona potential kwa Clement Mzize.

  • Umri wake mdogo.
  • Uwezo wake uwanjani.
Akiwa Afrika Kusini kocha wa Yanga SC, Gamondi alisema wana malengo ya kufanya vizuri katika ligi ya mabingwa hivyo mchezaji yoyote muhimu katika kikosi chao hataondoka labda yeye asiwepo.

Yanga kuna uwezekano pia watakataa ofa ya tatu ya mwarabu[emoji3]
Kwa maslahi ya taifa Mzize abaki Yanga tu, waarabu ni wabaguzi sana, Mzize zile mistakes zake hawawez kumvumilia, bora abaki Yanga kwa kocha anayemuamn aendelee kukua
 
Kuna namna wenzetu wanavyochanganua mambo. Huyu Mzize anadharaulika kwa sababu ya Utanzania wake ila ana potential ya kuwa mshambuliaji hatari sana.

Muda utaongea.
Kabisa ndugu, kinachofanya watu wamchukulie poa mzize ni uzawa na wote tunajua jinsi gani kasumba ya kudharau wachezaji wazawa ilivyotutafuna wabongo.

Mimi naamini angekuwa ni miongoni mwa hao wanaotoka west Africa, basi angeongelewa sana kwa wiki tatu mfululizo mpaka anauzwa na uhamisho wake ungekuwa ni suala la kujivunia sana kama ilivyokuwa kwa mayele.
 
Kabisa ndugu, kinachofanya watu wamchukulie poa mzize ni uzawa na wote tunajua jinsi gani kasumba ya kudharau wachezaji wazawa ilivyotutafuna wabongo.

Mimi naamini angekuwa ni miongoni mwa hao wanaotoka west Africa, basi angeongelewa sana kwa wiki tatu mfululizo mpaka anauzwa na uhamisho wake ungekuwa ni suala la kujivunia sana kama ilivyokuwa kwa mayele.
Ndio mkuu. Naomba hili dili lifanikiwe. Naamini ataimarika sana chiki ya kocha Rulani. Ni faida kwa Taifa.
 
Back
Top Bottom