Yanga imepata wachezaji imepoteza team

Yanga imepata wachezaji imepoteza team

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
Hii ndio sentence pekee naweza kuitumia kuelezea kile nachokiona kwa team ya Yanga
Kwa Sasa Kuna wachezaji lakini hakuna team Kila mmoja anataka kufanya kile anachotaka kufanya sio kwa ajili ya team Bali kwa ajili yake

Naamini Kuna hata wachezaji husikia uchungu pale mmoja wao anapofunga
Waangalie haraka namna ya ku offload ego za wachezaji nje ya hapo safari ya kupoteza haiko mbali
 
Hii ndio sentence pekee naweza kuitumia kuelezea kile nachokiona kwa team ya Yanga
Kwa Sasa Kuna wachezaji lakini hakuna team Kila mmoja anataka kufanya kile anachotaka kufanya sio kwa ajili ya team Bali kwa ajili yake
Naamini Kuna hata wachezaji husikia uchungu pale mmoja wao anapofunga
Waangalie haraka namna ya ku offload ego za wachezaji nje ya hapo safari ya kupoteza haiko mbali
Peleka timu Yako tuone watapata Matokeo gani dhidi ya Yanga.
 
Ni kweli pia na ligi inakua pia sio 5 tena kirahisi rahisi nd mana hata azam anaonekana kama dhaifu kumbe wapinzani nao wako moto saiv!!
Huenda ngoja tuendelee kuangalia ligi inavyoenda ila naamini hata wao huko ndani hawatasema ligi inakuwa ila wataangalia zaidi shida ni Nini hasa pale kwenye forwards
 
Huenda ngoja tuendelee kuangalia ligi inavyoenda ila naamini hata wao huko ndani hawatasema ligi inakuwa ila wataangalia zaidi shida ni Nini hasa pale kwenye forwards
Yanga ni ile ile, imetengeneza nafasi vile vile kama kipindi cha nyuma, bado ni timu hatari na tishio na Leo KMC alijipanga vizuri ndo maana kafungwa goli moja.

Nadhani Timu zinaendelea kuelewa uchezaji wa Yanga na udhaifu wa mchezaji mmoja mmoja wakati Yanga uchezaji ukiendelea kuwa ule ule ila bado ni timu hatari.

Pia Usajili wa boka umeongeza jambo. Jamaa anajua.
 
Mimi ni Yanga nacho amin yanga yangu haifanyi vizuri kwa sababu ya makosa ya kibinadamu ya waamuzi yamepungua kwa kiasi kikubwa, sababu nyingine ni kuwa bonasi za GSM kwa baadhi ya team zimepungua kiasi ila soon bahasha zikirudi tutashuhudia pila letu la siku zote
 
Hii ndio sentence pekee naweza kuitumia kuelezea kile nachokiona kwa team ya Yanga
Kwa Sasa Kuna wachezaji lakini hakuna team Kila mmoja anataka kufanya kile anachotaka kufanya sio kwa ajili ya team Bali kwa ajili yake
Naamini Kuna hata wachezaji husikia uchungu pale mmoja wao anapofunga
Waangalie haraka namna ya ku offload ego za wachezaji nje ya hapo safari ya kupoteza haiko mbali
Kwani ya kwako iliyopata timu imefunga mangapi huko?
 
Back
Top Bottom