Yanga imepata wachezaji imepoteza team

Yanga imepata wachezaji imepoteza team

Walihongwa kina Manura, Chama, Baleke, Inonga & company.

Hukuona hao niliowataja baada ya mechi wakawa wanashangilia na wenzao Yanga huku kina Hussein na Kapombe wakilia kwa uchungu wenzao kuwasaliti.

Chama hadi alisimamishwa na uongozi baada ya mechi ile. Unadhani uongozi wa Simba ni wajinga hadi kuwatuhumu baadhi ya wachezaji?
Nini maana ya tuhuma? Hivi nani hakuuona moto wa Yanga msimu uliopita?umewahi kucheza mpira katika level ipi isije nikawa nabishana bure tu...inamaana unataka kuniambia simba asingefungwa 5 mungesajili wachezaji kama hawa tunaowaona au nungewaacha tu walewale?Hawa viongozi wa simba na Yanga wote wanafanana mawazo pale timu zinapofanya vibaya lazima watafute wakuwatupia lawama ili kupunguza kelele za mashabiki....unakumbuka zile tuhuma za simba kuwapulizia sumu timu ngeni zilizokuwa zinakuja kwa ajili ya ligi ya mabingwa vipi unaamini kuwa ilikuwa ni kweli au hizo timu zilikuwa zinazidiwa uwezo tu uwanjani wakawa wanasingizia tu uongo ili kuwafariji mashabiki?
 
Kuhusu boka ni Mchezaji mzuri kwenye mikimbio kutoka eneo la chini kwenda eneo la juu ila mipira yake mingi haina usahihi, anaweza kupiga cross 6 ikafika moja zingine zinatoka nje, zinakuwa blocked na mabeki au ziende kwa kipa, bado hana pass accuracy.

Kuhusu viungo vya juu kwa sasa wamekosa ubunifu, tukimtoa pacome the rest wanategemea kutumia mbinu ya mwalimu kwa asilimia 98 ili kuleta production kwenye timu ila pacome na max huwa wanajaribu kufanya vitu binafsi nje ya mfumo wa mwalimu kitu ambacho huwafanya waonekane ni wachezaji wenye umuhimu mkubwa na hatari zaidi kwenye timu.

Ila kingine ninachokiona kwa yanga uwepo wa mastar wengi wenye uwezo mkubwa kunamchanganya Mwalim hajui aanze na nan na nan ili apate kitu kilichobora kitu ambacho kinampelekea kila siku kurotate kikosi akitafuta 11 bora.

Hadi sasa Yanga haina first 11 inayotambulika.
Una point boss
 
Kwamba simba yako inayomilikiwa na tajiri zaidi afrika mashariki walihongwa kile kipigo cha 5? Halafu kwa akili hizi ndio munajiita wasomi😆😆😆
Sisi kama yangu chukua hizi za ndani bashasha alipewa manura,inongo na baleke
 
Hii ndio sentence pekee naweza kuitumia kuelezea kile nachokiona kwa team ya Yanga
Kwa Sasa Kuna wachezaji lakini hakuna team Kila mmoja anataka kufanya kile anachotaka kufanya sio kwa ajili ya team Bali kwa ajili yake

Naamini Kuna hata wachezaji husikia uchungu pale mmoja wao anapofunga
Waangalie haraka namna ya ku offload ego za wachezaji nje ya hapo safari ya kupoteza haiko mbali
Kipindi Cha Boniface Ambani akiwa top striker hapo YANGA kwa wenye kumbukumbu nzurii watakumbuka.

Aliwai kusema kua Kuna wachezaji walikua wanamnyima PASI au kumpa PASI chonganishi 😂

Ndicho kitakacho tokea kwa YANGA hii let wait & see.
 
Timu pinzani ziko vizuri, hivi mnashindwa kuona hilo??

Mechi zote za ligi kuu mpaka sasa ni mechi chache timu zimeshinda magoli mengi tofauti na msimu jana.

Vijana wako njema, wana ari si mchezo.
 
Kipindi Cha Boniface Ambani akiwa top striker hapo YANGA kwa wenye kumbukumbu nzurii watakumbuka.

Aliwai kusema kua Kuna wachezaji walikua wanamnyima PASI au kumpa PASI chonganishi 😂

Ndicho kitakacho tokea kwa YANGA hii let wait & see.
Umesema nachowaza kwa mfano
 
Timu pinzani ziko vizuri, hivi mnashindwa kuona hilo??

Mechi zote za ligi kuu mpaka sasa ni mechi chache timu zimeshinda magoli mengi tofauti na msimu jana.

Vijana wako njema, wana ari si mchezo.
Ubutu wa safu ya ushambuliaji umekuwa dhahiri sana hata kocha ameonesha mashaka na hilo
 
Hii ndio sentence pekee naweza kuitumia kuelezea kile nachokiona kwa team ya Yanga
Kwa Sasa Kuna wachezaji lakini hakuna team Kila mmoja anataka kufanya kile anachotaka kufanya sio kwa ajili ya team Bali kwa ajili yake

Naamini Kuna hata wachezaji husikia uchungu pale mmoja wao anapofunga
Waangalie haraka namna ya ku offload ego za wachezaji nje ya hapo safari ya kupoteza haiko mbali
Ngoma ikivuma sana...
 
Hii ndio sentence pekee naweza kuitumia kuelezea kile nachokiona kwa team ya Yanga
Kwa Sasa Kuna wachezaji lakini hakuna team Kila mmoja anataka kufanya kile anachotaka kufanya sio kwa ajili ya team Bali kwa ajili yake

Naamini Kuna hata wachezaji husikia uchungu pale mmoja wao anapofunga
Waangalie haraka namna ya ku offload ego za wachezaji nje ya hapo safari ya kupoteza haiko mbali
Ngoma ikivuma sana...
 
Kuhusu boka ni Mchezaji mzuri kwenye mikimbio kutoka eneo la chini kwenda eneo la juu ila mipira yake mingi haina usahihi, anaweza kupiga cross 6 ikafika moja zingine zinatoka nje, zinakuwa blocked na mabeki au ziende kwa kipa, bado hana pass accuracy.

Kuhusu viungo vya juu kwa sasa wamekosa ubunifu, tukimtoa pacome the rest wanategemea kutumia mbinu ya mwalimu kwa asilimia 98 ili kuleta production kwenye timu ila pacome na max huwa wanajaribu kufanya vitu binafsi nje ya mfumo wa mwalimu kitu ambacho huwafanya waonekane ni wachezaji wenye umuhimu mkubwa na hatari zaidi kwenye timu.

Ila kingine ninachokiona kwa yanga uwepo wa mastar wengi wenye uwezo mkubwa kunamchanganya Mwalim hajui aanze na nan na nan ili apate kitu kilichobora kitu ambacho kinampelekea kila siku kurotate kikosi akitafuta 11 bora.

Hadi sasa Yanga haina first 11 inayotambulika.
Umeandika sawa sana hata Jana nilishtuka kusikia ndie man of the match
Kuhusu viungo uko sahihi kuhusu mwl uko sahihi
Ni ukweli ambao kusema inaonekana sio mwana yanga
 
Back
Top Bottom