OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #21
Usitumie nguvu kunijibu. Unaweza kujifunza kwa wenzio hapo juu. RelaxKwa akili yako ww umepokeaje kauli hii? Utamu ni neno la kawaida tu kama ukisema nyama ya Bata ni tamu, kosa liko wapi??!!! Au Mimi nikikutaja wewe unatoa utamu Kwa marafiki zako, unaelewaje??? Utamu upo ktk dimension Pana, mfano ni kama ukimkuta mtoto anagawa pipi, unaweza kusema mtoto anatoa utamu Kwa maana kwamba kile anachotoa kina ladha tamu. Semaji la Caf hana baya.