OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #21
Usitumie nguvu kunijibu. Unaweza kujifunza kwa wenzio hapo juu. RelaxKwa akili yako ww umepokeaje kauli hii? Utamu ni neno la kawaida tu kama ukisema nyama ya Bata ni tamu, kosa liko wapi??!!! Au Mimi nikikutaja wewe unatoa utamu Kwa marafiki zako, unaelewaje??? Utamu upo ktk dimension Pana, mfano ni kama ukimkuta mtoto anagawa pipi, unaweza kusema mtoto anatoa utamu Kwa maana kwamba kile anachotoa kina ladha tamu. Semaji la Caf hana baya.
comment yako inaonyesha kuna madini hupati mwilini ndio maanaKumjua mtu ana akili au hana lazima nawe uwe na akili au hauna, kwahiyo mkuu we unanionaje ninazo au sina?
Kwani kuna uhusiano wowote kati ya hayo madini na comment mkuu?comment yako inaonyesha kuna madini hupati mwilini ndio maana
uhusiano mkubwa mno ,especially before and after birthKwani kuna uhusiano wowote kati ya hayo madini na comment mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na vumbila congo tena si watarudi hapa wametolewa bawasiri tayari
Kwani ni Kweli mnagawa UTAMU?! Sema polepole tu mkuuNyie bila hata vumbi hua tunapaka mate tu
Kugawa utamu ni jambo la kumshitaki mtu kweli?Nisikiliza Crown FM hapa, yupo Semaji na mashabiki wa Simba wanaendelea na hamasa.
Sasa anasema wenzetu wanagawa Utamu nje na ndani. Na sasa wapo Lubumbashi ambapo pana vumbi. πππ
Mwisho nawatakia TP Mazembe ushindi hapo kesho
πππNisikiliza Crown FM hapa, yupo Semaji na mashabiki wa Simba wanaendelea na hamasa.
Sasa anasema wenzetu wanagawa Utamu nje na ndani. Na sasa wapo Lubumbashi ambapo pana vumbi. πππ
Mwisho nawatakia TP Mazembe ushindi hapo kesho
With vivid example, can you explain how?uhusiano mkubwa mno ,especially before and after birth
PM nikupe shuleWith vivid example, can you explain how?
PM si Kassim Majaliwa mkuu?PM nikupe shule
Mimi huwa yananifurahisha sana.Maneno ya hawa wasemaji yanaudhi na ni hatari, kuna haka ya kuwadhibiti.
Vv
Niku ulize wewe nnae kupakata kila sikuKwani ni Kweli mnagawa UTAMU?! Sema polepole tu mkuu
Au sio mgawa UTAMU kwenye kundi?!Niku ulize wewe nnae kupakata kila siku
I'm sorry Miss JacksonAu sio mgawa UTAMU kwenye kundi?!