Sasa Kama nyie mnaamini alikuwa na haki ya kuvunja mkataba mbona hamsemi timu iliyomsajiri?.., Kama umemnunua Sawa Dogo kwa 150m leo 500m kwa Fei?.Hivi hiyo milioni 500 mnayoitajataja mnaitoa wapi? Mayele mwenyewe hauziki milioni 500.
Hiyo barua mnasubiri nini kumuandikia, hukumu si ilishatoka kitambo, jana ilikuwa ni review tu? Wote tunasubiri hiyo barua ili toeni kweli mnaamini huyu ni mchezaji wenu.
Kucheza sio lazima labda kama Mkataba umeainisha hivyo (kitu ambacho sio rahisi)Ungejikita kwenye swali langu usifanye mambo yawe mengi, mfano ukipewa mkataba wa kujenga daraja kwa miezi sita uka amua kutojenga unasubiri miezi 6 iishe contract inakua imeisha una endelea na mambo yako si ndio?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mfano wangu wa kina Young Thug na Kodak Black unafana kabisa na mfano wako wa daraja sema tu basi ningeutoa mimi ningeonekana mbishi, ila umeutoa wewe basi unaujua mpiraNmetolea mfano huo ambao ni rahisi turudi kwenye football kwahio wewe una amini mkataba wa Fei utaisha bila kuutimikia,? kama anataka akae nyumbani Yanga watamuuzia huo mkataba kwa pesa wanayo taka wao vinginevyo arudi kwenye timu yake ambayo sasa hivi anadaiwa miezi 3
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mnavyopenda udingiMi sio bwana mdogo naweza kua baba ako pia jibu swali nililokujliza acha kurukaruka
Sasa 150m na 500m wapi na wapi?Sasa Kama nyie mnaamini alikuwa na haki ya kuvunja mkataba mbona hamsemi timu iliyomsajiri?.., Kama umemnunua Sawa Dogo kwa 150m leo 500m kwa Fei?.
Kwanza hawa si ndo wasaosema 4M ni nyingiYanga kumuuza Feisal watafanya kwa shingo upande tu ndiyo maana kuna watu wanataja pesa za ajabu za milioni 500 ili tu hilo lisiwezekane.
Unajustify vipi mchezaji uliyekuwa unamlipa mshahara wa milioni 4 kwa mwezi kutaka kumuuza milioni 500? Thamani ya mchezaji inaanzia na jinsi unavyomlipa wewe.
Yaani wanatajataja tu mamilioni bila hata kufikiria wanachosema. Wanadai wanamkomoa na kumfundisha adabu!Kwanza hawa si ndo wasaosema 4M ni nyingi
Hawa ndio tuliwategemea waje na offer ya chini kwasababu wanaijua thamani ya hela kuliko wengine
Milioni 500 atoe nani na saizi hela zilivyo ngumu wao hawaoni?Hivi hiyo milioni 500 mnayoitajataja mnaitoa wapi? Mayele mwenyewe hauziki milioni 500.
Hiyo barua mnasubiri nini kumuandikia, hukumu si ilishatoka kitambo, jana ilikuwa ni review tu? Wote tunasubiri hiyo barua ili toeni kweli mnaamini huyu ni mchezaji wenu.
Mitandaoni kila mtu anajidai anaiheshimu hela halafu linapokuja swala la offer ya kumuuza wanataja digits nyingiYaani wanatajataja tu mamilioni bila hata kufikiria wanachosema. Wanadai wanamkomoa na kumfundisha adabu!
Hoja ya msingi ni mkataba Mambo ya muunganiko ni swala kitaalam ambalo inapokuja nafasi yake kwa wataalamu hashindwi kuleta muunganiko... Leo ni zaidi ya mechi 10+ hayupo kikosini timu inafanya vizuri Sasa bado unataka muunganiko wakukatika viuno?. Kuondoka kwake yanga haiwezi kuathirika, yanga ni taasisi kubwa hiwezi kutegemea mchezazaji mmoja. Feisal aliihitaji yanga kuliko yanga inavyomhitaji yeye. Asubihi nimesikiliza mchambuzi mmoja wa S.Afrika akisema Tz wachezaji hawana elimu ndio maana hawajui wafanye nini?. Hivi kwa akili zako timamu unaweza kumuomba ushaur et Fatuma karume 😅😅..Sasa 150m na 500m wapi na wapi?
Ningekuwa mwanasaikolojia ningesema kwa kuwa mnatajataja hiyo milioni 500 ni kuwa mmeumia siyo tu Feisal kutaka kuondoka bure lakini msingetaka aondoke kwa dau lolote lile kutokana na muunganiko aliokwishajijengea na wenzake uwanjani.
Labda wamuuze kwa 150M wapate faida ya 30MSasa 150m na 500m wapi na wapi?
Ningekuwa mwanasaikolojia ningesema kwa kuwa mnatajataja hiyo milioni 500 ni kuwa mmeumia siyo tu Feisal kutaka kuondoka bure lakini msingetaka aondoke kwa dau lolote lile kutokana na muunganiko aliokwishajijengea na wenzake uwanjani.
Mioyo yenu imeumizwa na kupondekapondeka kwa maamuzi ya Feisal.
Hio fidia itakua sh ngapi unadhani?Wakivuta muda hadi mkataba uishe si atakuwa mchezaji huru kwa hiyo ataweza kwenda popote bila hiyo timu kuhitaji kuilipa Yanga chochote?
Wanadhani eti watambana hata mkataba utakapofikia ukomo aendelee kubaki Yanga kwa kuwa hakutekeleza matakwa ya mkataba. Muda ukiisha umeisha, wanaweza kumdai fidia na mambo kama hayo ila hawataweza kumng'ang'ania abaki.
Ukiwauliza wametumia formula gani kupata hiyo thamani sidhani kama wana jibu. Mchezaji ambaye wamempata kama zawadi hawakumnunua hata kwa shilingi, wanamlipa milioni 48 kwa mwaka, kwenye payroll ya timu sijui anashika nafasi ya ngapi huko chini, wamekuwa wamamlisha ugali na sukari, sasa hivi hata mchango wake kwenye timu wamekuwa wanaudhihaki halafu leo wanakuja na figure ya milioni 500 kumuuza.Mitandaoni kila mtu anajidai anaiheshimu hela halafu linapokuja swala la offer ya kumuuza wanataja digits nyingi
Nashindwa kuwaelewa ni wakati gani pesa ndogo inakuwa na thamani na wakati gani pesa ndogo inakuwa ndogo
Ukifanya summation baada ya makodi hapo total inakuja 38MUkiwauliza wametumia formula gani kupata hiyo thamani sidhani kama wana jibu. Mchezaji ambaye wamempata kama zawadi hawakumnunua hata kwa shilingi, wanamlipa milioni 48 kwa mwaka, kwenye payroll ya timu sijui anashika nafasi ya ngapi huko chini, wamekuwa wamamlisha ugali na sukari, sasa hivi hata mchango wake kwenye timu wamekuwa wanaudhihaki halafu leo wanakuja na figure ya milioni 500 kumuuza.
Waache tamaa, 150m inawatosha sana. 30m wanaweza kushindia hata game 5 za ligi ili waendeleze unbeaten.Labda wamuuze kwa 150M wapate faida ya 30M
30M itakiwa ni faida Itawatosha kulipia mishahara ya miezi mitatu mitatu kwa kina Mwanyeto, Bangala, Faridi na Nkane
Bora wangechukua zile 112m.nadhani itakuwa inacheza kwenye milioni 150
Bora wangechukua zile 112m.
Ukilinganisha usumbufu na muda waliopoteza.
Inasikitisha sana.Ukifanya summation baada ya makodi hapo total inakuja 38M
Haya bado Manara hajamkopa dogo kwasababu anamuweza.
Bado kwenye hiyo hiyo hela utasikia amekatwa mshahara kwasababu ya kosa fulani
Shida yako una kichwa kigumu unaleta swali juu ya swali hoja yangu ni "ni kwa namna gani mkataba unaisha vipi bila kutumika" ? usilete story nyingiKucheza sio lazima labda kama Mkataba umeainisha hivyo (kitu ambacho sio rahisi)
Vipi na mchezaji akisajiliwa halafu akawa hapangwi kikosini je anayo haki ya kurudi kusema mmevunja Mkataba?