Umeandika kama hauna akili timamu vile, Hapo nani anayeonekana kupoteza kati ya Yanga na mtoto mdogo Fey? Mtu yupo ndani ya mkataba eti unasema Yanga atapoteza? Tena kwa taarifa yako kwa tabia na mwenendo aliouonyesha kijana ndiye aliyejishusha soko maana hakuna club itamhitaji!