ZVI ZAMIR
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 921
- 2,163
Hii game nilienda saa tano asubuhi nikaishia kukaa kwenye ngazi uwanja ulifulika watu kupindukia tena ilikuwa na TP mazembe.Umechelewa sana kujua, Kuna wakati Manji alitoa ofa waingie bure kwa Mkapa, uwanja ulijaa saa 12 alfajiri, Hadi Waandishi wa Habari walikosa nafasi