Yanga Ina watu wazito, hii ndo bodi ya wadhamini waliochaguliwa

Kwa hiyo nyie madem wa Yanga manjikuta wazuri kama wale waliokuja kumalizia kusoma udaktari MUHAS toka Sudan?
 
Unamaanisha wote hata yule wa Yanga Princess aliyelazimika kukaguliwa jinsia walipokwenda kucheza Cameron?
 
Kamati ya siasa ya Ccm in back ground.

Tunapowaambiaga kila siku hapa timu za Simba na Yanga zinamilikiwa na serikali kuna viziwi huwa hawaelewi.

Bodi ya wadhamini ndio wamiliki wa timu na Mali zote za timu.
Hapana mkuu.....hii haihusiani na ccm
 
Well said [emoji122]
 
Kamati ya siasa ya Ccm in back ground.

Tunapowaambiaga kila siku hapa timu za Simba na Yanga zinamilikiwa na serikali kuna viziwi huwa hawaelewi.

Bodi ya wadhamini ndio wamiliki wa timu na Mali zote za timu.
Hapa mtani umeweka mapenzi na ushabiki pembeni.
Umeongea ukweli.
 
Wote waajiriwa wa serikali kasoro fatma siku kazi ikiisha hawawezi kusaidia timu mnaanza kutembeza bakuri tena,jifunzeni kwa simba ina bodi strong ya watu maproffessional na wenye makampuni.
 
When it comes to Soccer kinacho-matter ni kwenye Pitch hayo mengine sometimes yanaweza kuwa distraction..., Hao Jamaa kuleta Upuuzi wao wa kule na kuuleta Huku....
Lkn ukiwa na body yenye financial muscles kubwa.....ndipo unaweza kupata quality players wengi kutokana na kuwa na budget nono

Mfano
Uwepo wa Abasi Tarimba kuliifanya Yanga kupata mkataba mnono
 
Mafisadi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…